Biashara yangu ya Bundi imenidodea

Pole sana mzee wa mijibundi, hapo ndo utakumbuka usemi usemao tamaa mbele mauti nyuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa pole isiyo na msaada.
Kwa kweli nilikurupuka sikufanya business survey na wala sikuwa hata na business plan, hata vibali vya kufuga bundi kutoka mamlaka ya IATA (INABIDI AJE TANZANIA ASHANGAE) sikuwa navyo na mpaka sasa sina
 
Mamaweee....hii midege aina ya mibundi nasikia inaletaga uchuro
 
Inabidi ukapimwe mkojo wewe
Mti wenye matunda.
 
Hivi hii mibundi hatuwezi kuifanya chuma chakavu ..oh sorry hatuwezi kuifanya kitoweo?
 
Mkuu ndege wote hawa wanaofugwa umekosa hadi kufuga mabundi? Anyway lakini Tz ili utoboe lazima ufanye mambo ya ajabu ajabu kimtindo
 


"Nimekupeleka pale ukafanye mabadiliko, ukalisimamie hilo, kwa sababu nina matatizo sana na baadhi ya miradi ya maji, na ndio maana nimekuwa nikifanya mabadiliko kwenye miradi ya maji, kwa sababu haileti impact. Zinazungumzwa fedha zimeenda kwenye miradi lakini hazikuenda, kuna wakati nilienda kanda ya ziwa, mradi umetumika milioni 400, zilikuwa milioni 800 lakini maji hayapo, sasa nikuombe Waziri na watendaji mkawe wakali kweli kweli, kama unaweza ukavute bangi ya Njombe ili uwe mkali kaivute, kaivute kisiri siri wasikuone ukiivuta, ili ukienda kwenye mradi hawa mainjia wa maji wakafanye kazi”, amesema Rais Magufuli.
 
Kwa definition ya uchochezi ya awamu hii, huu ni uchochezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…