Biashara yangu ya Bundi imenidodea

Biashara yangu ya Bundi imenidodea

Hahahahahahha.....nawakumbuka mno...yaan nyie bwana..dah..haya karibu
Get well prepared, tuakuiba, tukakufuge. Ndume mpya anasemaje? Akiwa na wivu tutachomwa mishale. Kama si ya kimasai, Basi ya ki Kigwangala. Maana alikalishwa kwenye vibuyu kusafishwa mchana kweupeeee
 
Nimenunua mijibundi mikubwa kwa midogo kwa mbwembwe nyingi sana. Kwa mikogo na mwendo wa madaha nilijigamba kila kona huku nikiwatambia wapinzani wangu kuwa naenda kuwa juu kama Pierre Liquid Konki Fayaaaaa.
Matarajio yangu ilikuwa niipeleke mibundi yangu nchi jirani na za mbali, hasa Bollywood na Uchinani.
Nimeshindwa, wamesema hawataki uchawi kwenye nchi yangu.
Mibundi mikubwa imelala tu inapigwa na vumbi na kuzeeka, vibundi vidogo navituma mikoani lakini navilisha kwa gharama kubwa na havinipi faida, watu hawana hela nashindwa kuwapiga chuma ulete.
Bora ningekuwa msikivu ningechimba visima wanangu wapate maji kuliko biashara hii kichaa ya uchawi wa mabundi.
Mapovu ruksa
hahahaha, hapa fasihi imefanya kaziyake
 
Nimenunua mijibundi mikubwa kwa midogo kwa mbwembwe nyingi sana. Kwa mikogo na mwendo wa madaha nilijigamba kila kona huku nikiwatambia wapinzani wangu kuwa naenda kuwa juu kama Pierre Liquid Konki Fayaaaaa.

Matarajio yangu ilikuwa niipeleke mibundi yangu nchi jirani na za mbali, hasa Bollywood na Uchinani.

Nimeshindwa, wamesema hawataki uchawi kwenye nchi yangu.

Mibundi mikubwa imelala tu inapigwa na vumbi na kuzeeka, vibundi vidogo navituma mikoani lakini navilisha kwa gharama kubwa na havinipi faida, watu hawana hela nashindwa kuwapiga chuma ulete.

Bora ningekuwa msikivu ningechimba visima wanangu wapate maji kuliko biashara hii kichaa ya uchawi wa mabundi.

Mapovu ruksa

Haaaahaaaa. Heri ya pasaka mkubwa. Bundi waache waruke kivyake vyake
 
Nimenunua mijibundi mikubwa kwa midogo kwa mbwembwe nyingi sana. Kwa mikogo na mwendo wa madaha nilijigamba kila kona huku nikiwatambia wapinzani wangu kuwa naenda kuwa juu kama Pierre Liquid Konki Fayaaaaa.

Matarajio yangu ilikuwa niipeleke mibundi yangu nchi jirani na za mbali, hasa Bollywood na Uchinani.

Nimeshindwa, wamesema hawataki uchawi kwenye nchi yangu.

Mibundi mikubwa imelala tu inapigwa na vumbi na kuzeeka, vibundi vidogo navituma mikoani lakini navilisha kwa gharama kubwa na havinipi faida, watu hawana hela nashindwa kuwapiga chuma ulete.

Bora ningekuwa msikivu ningechimba visima wanangu wapate maji kuliko biashara hii kichaa ya uchawi wa mabundi.

Mapovu ruksa
Mkuu wekeza kwenye mayai ya Bundi ndio yanahela.
Au Mshana Jr hakuwahi kukudokeza hili
 
Baki tu na mijibundi yako mpaka soko litakapo kaa sawa uyaweke stock bei ikiwa nzur unayauza !
Au uyagawe tu kwa washirika wenzako wayanywe supu
 
Bujibuji kiboko mwaka huo sikusoma huu uzi nikajua mabiashara ya bundi kweli daah kumbe ulitia pin namba nzito tofauti na mwewe ili uwe salama kweli umepata sare nyembamba sana hongera mzee...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom