Biashara yangu ya Bundi imenidodea

Biashara yangu ya Bundi imenidodea

Nimependa sana "De Language language style that you have used to deliver your intended message" nimecheka sana yaani mkuu kwa njia hii utatumiwa askali kanzu maana tungo ni tata eti

"meaning is in people not words uttered by speaker"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu weka picha mkuu niwaone, naweza nikachagua hapo wangu nane...
Hawa hapoo
tapatalk_1554879246174.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimenunua mijibundi mikubwa kwa midogo kwa mbwembwe nyingi sana. Kwa mikogo na mwendo wa madaha nilijigamba kila kona huku nikiwatambia wapinzani wangu kuwa naenda kuwa juu kama Pierre Liquid Konki Fayaaaaa.
Matarajio yangu ilikuwa niipeleke mibundi yangu nchi jirani na za mbali, hasa Bollywood na Uchinani.
Nimeshindwa, wamesema hawataki uchawi kwenye nchi yangu.
Mibundi mikubwa imelala tu inapigwa na vumbi na kuzeeka, vibundi vidogo navituma mikoani lakini navilisha kwa gharama kubwa na havinipi faida, watu hawana hela nashindwa kuwapiga chuma ulete.
Bora ningekuwa msikivu ningechimba visima wanangu wapate maji kuliko biashara hii kichaa ya uchawi wa mabundi.
Mapovu ruksa
hahaaaaaa si kuna mmja ulimpeleka kwa jirani vipi karudi?

|ChatBot✓|
 
Nimenunua mijibundi mikubwa kwa midogo kwa mbwembwe nyingi sana. Kwa mikogo na mwendo wa madaha nilijigamba kila kona huku nikiwatambia wapinzani wangu kuwa naenda kuwa juu kama Pierre Liquid Konki Fayaaaaa.
Matarajio yangu ilikuwa niipeleke mibundi yangu nchi jirani na za mbali, hasa Bollywood na Uchinani.
Nimeshindwa, wamesema hawataki uchawi kwenye nchi yangu.
Mibundi mikubwa imelala tu inapigwa na vumbi na kuzeeka, vibundi vidogo navituma mikoani lakini navilisha kwa gharama kubwa na havinipi faida, watu hawana hela nashindwa kuwapiga chuma ulete.
Bora ningekuwa msikivu ningechimba visima wanangu wapate maji kuliko biashara hii kichaa ya uchawi wa mabundi.
Mapovu ruksa
Bundi wako ulitumia janja janja sana kuwaingiza sokoni. Mara wawameze KASUKU wa kijivu, mara wajinyakulie Nyama ya mbuzi ya CHOBBO INVESTMENT, vurugu tupu...!!!
Pambana na bundi wako...
 
Kibiashara changu cha bundi hakiendani na mambo yenu ya uchumi wa kati..... nadhani tatizo nyota
Tatizo sio nyota Mkuu.. Tatizo Ww ni mbishi.. Tulikuona tokea ukiwa waziri ulivyokuwa ukikurupuka ulivyo Pewa u number 1 tukakuonya hukusikia

Sasa Hiyo mijibundi Ulitaka kubebea nyuma upaleke abroad si mwehu ww???



Haya professor katoa ripoti kuwa unaendesha hyo mijibundi kwa hasara


better to resign bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo sio nyota Mkuu.. Tatizo Ww ni mbishi.. Tulikuona tokea ukiwa waziri ulivyokuwa ukikurupuka ulivyo Pewa u number 1 tukakuonya hukusikia

Sasa Hiyo mijibundi Ulitaka kubebea nyuma upaleke abroad si mwehu ww???



Haya professor katoa ripoti kuwa unaendesha hyo mijibundi kwa hasara


better to resign bro

Sent using Jamii Forums mobile app
huyu profesa maji manene mbona ananivua nguo hadharani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom