Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,407
- 25,928
Punguza kujielezea sana, wewe fanya biashara.Hello great thinkers! Leo nimeanza rasmi biashara ya Vinywaji~rejareja pamoja na uwakala wa mitandao yote. Eneo ni changamfu na kuna watu tunaofahamiana(wateja wa uhakika hawa).
Naomba kufahamishwa mazuri na changamoto za biashara husika, fursa zaidi zilizopo na jambo lolote lenye kujenga/tija.
Nimefanya maboresho kwa kuweka muonekano mzuri wa frem na mazingira ya Ofisi, lengo ni kuwapata wateja wote, wa chini kati na juu!
Asanteni.