Katika hali ya kustaajabisha leo maeneo ya Survey Dar Es salaam, machinga wa kichina alikutwa na camera yetu akitembeza simu za kichina aina ya Nokia zenye thamani ya 70,000 kila moja ila yeye akiwauzia wateja wake kwa laki tatu kila moja. Tatizo lake ni luga make inafikia hatua anaandika bei zile tarakim kwenye calculater.
Hivi kweli serikali yetu imefumbia macho swala hili mpaka hali hii?
Hatari sasa.
Hivi kweli serikali yetu imefumbia macho swala hili mpaka hali hii?
Hatari sasa.