LANGO KUU LA KUZIMU LA DAR ES SALAAM
Kuzimu ni shimo la giza lililopo duniani katika ulimwengu usiooneka, hapo ndipo yalipo makao makuu ya shetani katika dunia tunayoishi. Shetani ameshikilia tawala za mataifa mengi, anamiliki utajiri na fahari zake zote na humpa ampendaye kwa sharti ni lazima umsujudie.
Lango kuu la kuingilia kuzimu la Upanga Dar es Salaam linajulikana kwa jina la MUSTALLAH. Ndani ya shimo la Mustallah kuna aina kumi na mbili za majini makatili sana yanayoangamiza jamii ya watu wa jiji la Dar es Salaam. Wachawi wa nchi huenda mara kwa mara shimoni kuongeza nguvu za uchawi wao, kabla ya kuingia shimoni ni lazima ufunge kwa siku tatu. Hapa tunajifunza kuwa shetani naye huwa anafunga.
Tuangalie sasa aina za haya majini ya Mustallah na kazi zao.
1. Ratafari ni jini linalosimamia laana zote za ukoo.
Wapo watu wanasema ukoo wetu unasumbuliwa sana na ugonjwa wa pumu, kisukari, presha, kutokuolewa na mambo mengi ambayo utakuta ukoo unakuwa na tatizo moja linalofanana kwa kila mwanaukoo, hili jini ndilo linasimamia laana hizo zimalize ukoo hadi kifo.
2. Muzaphari ni jini linalozuia mafanikio.
Ukitupiwa hili jini, hutaweza kufanya jambo lolote ukafanikiwa. Ukikopa shs 500,000 bank kwa ajili ya kuanza bishara, utafilisika na kuingia kwenye deni, na dhamana yako uliyoweka bank kuuzwa. Ukitaka kujiendeleza kimasomo yatatokea matatizo mengi yatakayosababisha kusimamisha masomo yako.
3. Latifu hili jini linasimamia mambo matatu, ufukara, mateso, na pesa zako kupotea katika mazingara ya ajabu ajabu.
4. Jujan ni jini linalosababisha watu kula udongo.
5. Jahad ni jini la kutorosha mali
Makarani wa bank ndio hasa wanaoadhirika na hili jini, utakuta karani anafanya kazi kwa uangalifu mkubwa, lakini kila siku ana shoti ya pesa. Pia kwenye maduka ya kawaida na hasa supermarket.
6.Hazinan hili jini linalosimamia pombe, uvutaji wa sigara, madawa ya kulevya na mirungi.
7. Jube ni jini linalosimamia utasa, vipimo vya hospitali vitaonyesha kuwa huna tatizo lakini mtoto kamwe hapatikani.
8. Sifafiru hili ni jini linalosimamia ukahaba. Likimwingia mtu yeyote, kwa siku atatembea na watu zaidi ya watano bila hamu ya mapenzi kumalizika.
9. Subian hili ni jini linalosimamia ajali. Chakula cha hili jini ni damu.
Linasababisha wanawake wasipate siku zao, wengine wanapata maumivu makali sana wakiwa katika hedhi, utasikia tumbo linakata kuanzia kushoto kwenda kulia na hali hiyo huendelea kwa muda hadi unanza kusikia maumivu makali ya mgongo.
10. Sumri jini hili linanyonga watoto wakiwa tumboni kabla ya kujifungua, pia linajihusisha na kuchukua watoto hospitali kichawi.
11. Munsar hili ni jini linalosimamia ndoa ya jinsia moja.
mwanamke kwa mwanamke au mwanamume kwa mwanamume.
12. Waidadat hili jini linasababisha vijana wa kiume kuvaa hereni, kusuka nywele na rasta.
Haya majini yamesumbua familia nyingi kwa kiwango cha kutisha, kuyaondoa ni rahisi sana na kwa muda mfupi.
Usijali jicho langu litakupa ulinzi.
Mbayuwayu miaka ya 1970 alipomaliza shule ya msingi, alionekana ni kijana aliyekuwa na bidii sana katika masomo yake darasani. Wazazi wake Mbayuwayu waliona itafaa kijana wao pia akajua fani ya uganga, hivyo walimtafutia mtaalamu ambaye alianza kumfundisha elimu ya jadi ya ulozi.
Masomo aliyofundishwa na kuyaelewa vema ni jinsi ya kutengeneza majini, kuruka kwa ungo, kuchukuwa watu msukule na elimu ya nyota. Baada ya kuhitimu wazee walikutana kwenye mikutano ya wachawi usiku, Mbayuwayu naye alialikwa, alipongezwa sana kwa bidii aliyoonyesha kwenye masomo yake, na aliahidiwa tarehe ambayo atakabidhiwa cheti chake cha kuhitimu elimu ya ulozi.
Tarehe ilipofika waliruka kwa ungo hadi Kisiju, Mkuranga, walipofika eneo la shughuli walikuta wapo vijana wenzake wawili ambao nao walikuwa wapate vyeti. Muda ulipowadia wazee waliwaita na kuelekezwa waende kwenye chungu kilichokuwa kipo jikoni. Walipokaribia chungu, walikuta ndani kuna nyama iliyokuwa inachemshwa, walielekezwa kila mtu akate kipande cha nyama ya kila kiungo na waweke kwenye sahani, walipofungua chungu, wakangundua kuwa ile nyama haikuwa ya mnyama bali ni nyama ya binadamu.
Mbayuwayu bila kusita alitii amri ya wazee na akakata nyama za kila kiungo pamoja na supu yake, na kuanza kula. Wale vijana wawili walipogundua ile ni nyama ya binadamu waligoma kabisa kula, walilazimishwa na wazee lakini hawakukubali. Desturi za wachawi, damu na nyama za watu ni chakula cha kawaida, na ukishaingia kwenye ulozi unatakiwa uwe mtiifu na usitoe siri zao kwa mtu yeyote ambaye siyo mchawi.
Wale vijana kwa daraja la uchawi walilokuwa wamefikia na viapo walivyoapa, adhabu waliyostahiki ilikuwa ni kifo, ilishangaza kidogo wale wazee vigagula walifanya mambo yao haraka na wale vijana walianguka chini wakiwa maiti.
Wazee walimchukuwa Mbayuwayu usiku huohuo kwa usafiri wa ungo hadi makaburi ya Kinondoni, makaburi haya yapo karibu na baa ya Lang'ata ambapo wanazikwa Wakristo na Waislamu. Walikuta kaburi la Mkristo ambalo ni la siku kama tatu tangu marehemu azikwe. Wazee walifanya mambo yao ya kichawi na kaburi likafunguka, wakalipandisha juu jeneza, kisha wazee wakamwambia Mbayuwayu alivyunje kwa kulikanyaga kwa mguu wa kushoto. Jeneza lilipasuka na harufu ya kutisha ilitoka ndani, wale wazee walichukuwa kikombe kidogo kinachotumika kunywea kahawa mitaani, Wazee walimwambia Mbayuwayu achote majimaji yenye usaha toka ndani ya jeneza na anywe vikombe vitatu. Mbayuwayu bila ajizi wala kusita alitii amri, na kuchota ule usaha vikombe vitatu vilivyojaa na kunywa.
Mbayuwayu alibaki anashangaa, alifikiri cheti alichoahidiwa kupewa ni sawasawa na cheti alichopewa alipomaliza elimu ya shule ya msingi, kumbe cheti ni kulishwa vyakula ambavyo hatavisahau maishani mwake.
Baada ya hiyo karamu ya makaburini, wazee walimwambia Mbayuwayu, ajitayarishe kwani kesho yake watampeleka kumtambulisha kuzimu kwa mkuu, kupitia lango la kuzimu la Upanga ........................
Je kuzimu ni wapi?
Je unaweza kuingia kuzimu na kutoka?
Ni nini kilimpata Mbayuwayu hadi akaokoka?
Tafuta kanda ya DVD itwayo "Ushuhuda wa Mwisilamu (mchawi) Aliyeokoka"
Malaika Watakatifu, shetani, na majini ni baadhi ya viumbe wanaoishi kwenye ulimwengu usioonekana. Watu wengi wamekuwa wakifikiri kuwa ulimwengu usioonekana uko mbali sana na ulimwengu huu tunaoishi, ukweli ni kwamba wote tunaishi ulimwengu mmoja na barabarani huwa tunapishana, ingawa sisi hatuwaoni, lakini wao wanatuona kwa kila jambo tunalolifanya.
Shetani anayo majeshi yake makubwa ajabu, kwa mfano hapo ulipo sasa kuna jeshi la shetani lenye askari wapatao 500 hadi 1000, wakigojea amri ya kushambulia, kuumiza na kuuwa.
Wachawi wa nchi huwatumia sana hawa majini katika kutimiza dhamira zao mbaya za kudhuru maisha ya binadamu wenzao. Kimsingi hakuna tofauti kati ya wanaoitwa waganga wa kienyeji na wachawi (ni sawasawa na unaposema kuna askari na kuna polisi, wote ni walewale), watu wanapowaendea hawa wachawi kuaguliwa, huanza kwa kupiga manyanga na kuimba nyimbo za kichawi, wimbo huo ni wa kuita jini la utambuzi na tafasiri. Mtu anapowaza jambo fulani katika ulimwengu unaoonekana, katika ulimwengu usioonekana unaoongea kwa sauti kubwa kweli kweli, hili jini la utambuzi likifika linakaa karibu na wewe na kusikiliza kile unachowaza na kumweleza mchawi kwa lugha zao za kijini. Machawi akishaelezwa tatizo lako na jini, huanza kukueleza matatizo yako bila ya kukuuliza maswali yeyote, na watu wengi wamekuwa wakiishia kuwasifia sana hawa wachawi kuwa kabla hujasema anakuambia matatizo yako, asijue kuwa yeye mwenyewe ndiye aliyekuwa akiongea kwa kuwaza.
Kama umetupiwa jini, hawa wachawi hawana uwezo wa kuyaondoa majini yaliyowekwa mwilini mwako. Wanachofanya wanachukua jini mwingine mkubwa zaidi ya yule aliye ndani ya mwili wako, na anaelekezwa amtulize huyu jini asiendelee kufanya madhara ndani ya mwili wako. Jini mgeni naye inafika wakati anabadili tabia na kuanza kushambulia mwili wako, unapowaendea hawa wachawi wa nchi unavishwa jini mwenye nguvu zaidi kuwatuliza majini walio ndani ya mwili wako.
Kadri unavyowaendea wachawi ndivo unaondoka na mtaji wa majini mengi mwilini mwako.
Haya mambo yapo mimi wakati mdogo (late eighties or early nineties) pale viwanja vya mnazi mmoja nilishuhudia Emmanuel Eni (yule Mnigeria aliyekuwa mchawi ila baadae akaokoka) akihubiri (akielezea maisha yake) jinsi alivyoishi maisha haya. Alisimulia hivyo vyou alivyopelekwa kusoma (INDIA) na jinsi alivyokuwa anasababisha ajali.
Pia alieleze jinsi alivyolishwa maji ya maiti (yaani maiti inafukuliwa halafu inamwagiwa maji ili mchizi uwe na harufu ya maiti) ili anywe. Nakumbuka hata tuliwahi kununua kitabu chake na nilikisoma japo kuwa ni miaka mingi imepita (kama 20+) bado nakumbuka vipande vipande vya huo mkasa. (Mwenyewe nime shangaa kukumbuka hata jina lake na kugoogle)
Haya mambo yanatisha sana ila ukiwa na Yesu huwezi kuogopa kwasababu aliyashinda yote hayo.
Kuna link hii nimeipata toka google ambayo ni kitabu alichoandika yeye mwenyewe Emmanuel Eni kuhusu maisha yake kinaitwa:
Delivered From The power Of Darkness
Malaika Watakatifu, shetani, na majini ni baadhi ya viumbe wanaoishi kwenye ulimwengu usioonekana. Watu wengi wamekuwa wakifikiri kuwa ulimwengu usioonekana uko mbali sana na ulimwengu huu tunaoishi, ukweli ni kwamba wote tunaishi ulimwengu mmoja na barabarani huwa tunapishana, ingawa sisi hatuwaoni, lakini wao wanatuona kwa kila jambo tunalolifanya.
Shetani anayo majeshi yake makubwa ajabu, kwa mfano hapo ulipo sasa kuna jeshi la shetani lenye askari wapatao 500 hadi 1000, wakigojea amri ya kushambulia, kuumiza na kuuwa.
Wachawi wa nchi huwatumia sana hawa majini katika kutimiza dhamira zao mbaya za kudhuru maisha ya binadamu wenzao. Kimsingi hakuna tofauti kati ya wanaoitwa waganga wa kienyeji na wachawi (ni sawasawa na unaposema kuna askari na kuna polisi, wote ni walewale), watu wanapowaendea hawa wachawi kuaguliwa, huanza kwa kupiga manyanga na kuimba nyimbo za kichawi, wimbo huo ni wa kuita jini la utambuzi na tafasiri. Mtu anapowaza jambo fulani katika ulimwengu unaoonekana, katika ulimwengu usioonekana unaoongea kwa sauti kubwa kweli kweli, hili jini la utambuzi likifika linakaa karibu na wewe na kusikiliza kile unachowaza na kumweleza mchawi kwa lugha zao za kijini. Machawi akishaelezwa tatizo lako na jini, huanza kukueleza matatizo yako bila ya kukuuliza maswali yeyote, na watu wengi wamekuwa wakiishia kuwasifia sana hawa wachawi kuwa kabla hujasema anakuambia matatizo yako, asijue kuwa yeye mwenyewe ndiye aliyekuwa akiongea kwa kuwaza.
Kama umetupiwa jini, hawa wachawi hawana uwezo wa kuyaondoa majini yaliyowekwa mwilini mwako. Wanachofanya wanachukua jini mwingine mkubwa zaidi ya yule aliye ndani ya mwili wako, na anaelekezwa amtulize huyu jini asiendelee kufanya madhara ndani ya mwili wako. Jini mgeni naye inafika wakati anabadili tabia na kuanza kushambulia mwili wako, unapowaendea hawa wachawi wa nchi unavishwa jini mwenye nguvu zaidi kuwatuliza majini walio ndani ya mwili wako.
Kadri unavyowaendea wachawi ndivo unaondoka na mtaji wa majini mengi mwilini mwako.
Viongozi ni wateja wazuri, lakini idadi yao siyo kubwa
We ni Shehe Yahya, au mwanae au msaidizi wake?LANGO KUU LA KUZIMU LA DAR ES SALAAM
Kuzimu ni shimo la giza lililopo duniani katika ulimwengu usiooneka, hapo ndipo yalipo makao makuu ya shetani katika dunia tunayoishi. Shetani ameshikilia tawala za mataifa mengi, anamiliki utajiri na fahari zake zote na humpa ampendaye kwa sharti ni lazima umsujudie.
Lango kuu la kuingilia kuzimu la Upanga Dar es Salaam linajulikana kwa jina la MUSTALLAH. Ndani ya shimo la Mustallah kuna aina kumi na mbili za majini makatili sana yanayoangamiza jamii ya watu wa jiji la Dar es Salaam. Wachawi wa nchi huenda mara kwa mara shimoni kuongeza nguvu za uchawi wao, kabla ya kuingia shimoni ni lazima ufunge kwa siku tatu. Hapa tunajifunza kuwa shetani naye huwa anafunga.
Tuangalie sasa aina za haya majini ya Mustallah na kazi zao.
1. Ratafari ni jini linalosimamia laana zote za ukoo.
Wapo watu wanasema ukoo wetu unasumbuliwa sana na ugonjwa wa pumu, kisukari, presha, kutokuolewa na mambo mengi ambayo utakuta ukoo unakuwa na tatizo moja linalofanana kwa kila mwanaukoo, hili jini ndilo linasimamia laana hizo zimalize ukoo hadi kifo.
2. Muzaphari ni jini linalozuia mafanikio.
Ukitupiwa hili jini, hutaweza kufanya jambo lolote ukafanikiwa. Ukikopa shs 500,000 bank kwa ajili ya kuanza bishara, utafilisika na kuingia kwenye deni, na dhamana yako uliyoweka bank kuuzwa. Ukitaka kujiendeleza kimasomo yatatokea matatizo mengi yatakayosababisha kusimamisha masomo yako.
3. Latifu hili jini linasimamia mambo matatu, ufukara, mateso, na pesa zako kupotea katika mazingara ya ajabu ajabu.
4. Jujan ni jini linalosababisha watu kula udongo.
5. Jahad ni jini la kutorosha mali
Makarani wa bank ndio hasa wanaoadhirika na hili jini, utakuta karani anafanya kazi kwa uangalifu mkubwa, lakini kila siku ana shoti ya pesa. Pia kwenye maduka ya kawaida na hasa supermarket.
6.Hazinan hili jini linalosimamia pombe, uvutaji wa sigara, madawa ya kulevya na mirungi.
7. Jube ni jini linalosimamia utasa, vipimo vya hospitali vitaonyesha kuwa huna tatizo lakini mtoto kamwe hapatikani.
8. Sifafiru hili ni jini linalosimamia ukahaba. Likimwingia mtu yeyote, kwa siku atatembea na watu zaidi ya watano bila hamu ya mapenzi kumalizika.
9. Subian hili ni jini linalosimamia ajali. Chakula cha hili jini ni damu.
Linasababisha wanawake wasipate siku zao, wengine wanapata maumivu makali sana wakiwa katika hedhi, utasikia tumbo linakata kuanzia kushoto kwenda kulia na hali hiyo huendelea kwa muda hadi unanza kusikia maumivu makali ya mgongo.
10. Sumri jini hili linanyonga watoto wakiwa tumboni kabla ya kujifungua, pia linajihusisha na kuchukua watoto hospitali kichawi.
11. Munsar hili ni jini linalosimamia ndoa ya jinsia moja.
mwanamke kwa mwanamke au mwanamume kwa mwanamume.
12. Waidadat hili jini linasababisha vijana wa kiume kuvaa hereni, kusuka nywele na rasta.
Haya majini yamesumbua familia nyingi kwa kiwango cha kutisha, kuyaondoa ni rahisi sana na kwa muda mfupi.
Baada ya biashara ya mitumba kuruhusiwa hapa nchini, wafanyabiashara wamekuwa wakiingiza kila aina ya nguo na vyombo vya aina mbalimbali.
Moja wapo ya bidhaa ambayo inaingizwa kwa wingi nchini ni wanasesere (midoli) zikiwa katika maumbo mbalimbali kama mbwa, paka, watoto, nyoka, chura nk.
Shetani akisaidiwa na wachawi wa nchi siku zote huwa wanatafuta milango ya kuingilia ndani ya maisha ya mtu, mara nyingi wachawi na majini huwa wanavaa maumbo ya panya, paka, mbu, nzi, mjusi kafiri kuingia kwenye makazi ya watu na kuwafanyia ulozi.
Siku hizi baada ya watu wengi kununua na kumiliki madoli, utakuta chumba cha mapumziko kimepabwa kwa madoli aina mbali mbali, kama wana watoto, utakuta chumba cha kulala watoto kimejazwa madoli, watoto wakicheza nayo. Magari nayo yamekuwa yakipambwa kwa midoli ya kila aina.
Wachawi wa nchi wakiingia ndani ya nyumba yako, wanachofanya ni kuweka majini yao ndani ya hiyo midoli au midoli sasa hivi ndiyo makazi ya wachawi na majini ndani ya nyumba yako, ndiyo maana tangu ununue hiyo midoli maradhi ya ajabu hayaishi nyumbani kwako.
Huu ni ushauri wa BURE kwa yeyote mwenye kuwa na sikio la kusikia na asikie, mwenye macho ya kusoma na akasoma hii habari na kuielewa, ataamua mwenyewe linalokupasa kutenda.[/QUOTE kama huamini kuna uchawi njoo kibaha ufungue biashara ukutane na wagweno wachawi sana