Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,681
- 46,371
Katika nchi zilizoendelea na nyingi za Latin America na Asia au hata jirani zetu Kenya kuna biashara kubwa ya sehemu za makaburi inayofanywa na makampuni binafsi. Unakodishiwa kaburi unakuwa unalipia kwa kipindi fulani kama mpangaji au unalinunua moja kwa moja kabisa.
Hapa nchini makaburi mengi ya Jumuiya kama sio yote bado yanaendeshwa na serikali, kanisa, misikiti, mahekalu au familia. Sekta bado haijafunguka vya kutosha, inabidi michakato ifanyike ifunguliwa watu wenye ardhi kubwa wapige pesa.
Hapa nchini makaburi mengi ya Jumuiya kama sio yote bado yanaendeshwa na serikali, kanisa, misikiti, mahekalu au familia. Sekta bado haijafunguka vya kutosha, inabidi michakato ifanyike ifunguliwa watu wenye ardhi kubwa wapige pesa.