Biashara ya salon za massage ina leseni?

Nov 11, 2008
782
38
Nikiwa kwenye mizunguko yangu nakutana na vibao vya matangazo ya massage, naona vinaendelea kuongeza.

NOW I AM THINKING LOUD, hivi hizi saloon zinatambuliwa kisheria na zina leseni yake?

Siataka hata kufikiria ni mambo gani yanafanyika huko ndani, is this not those kind of business comming in a different style?
 
Sallon nadhani kulipa kodi kidogo inategemea kama ni saluni ndogo au kubwa! hupata leseni manispaa..kuna wakati serikali ilifuta kodi biashara ndogo ambazo mapato kwa mwezi ni chini ya 100,000!

Ila mambo ya massage haukuwa utamaduni wa Watz..sijui kama wana leseni!

Ila utashangaa watu matajiri na hata wanasiasa akina baba na akina mama wanenda ktk hizi sehemu za massage!
 
Sallon nadhani kulipa kodi kidogo inategemea kama ni saluni ndogo au kubwa! hupata leseni manispaa..kuna wakati serikali ilifuta kodi biashara ndogo ambazo mapato kwa mwezi ni chini ya 100,000!

Ila mambo ya massage haukuwa utamaduni wa Watz..sijui kama wana leseni!

Ila utashangaa watu matajiri na hata wanasiasa akina baba na akina mama wanenda ktk hizi sehemu za massage!

Mkuu, pamoja kuwa massage sio utamaduni wetu lakini ni kitu muhimu sana. Mfano kwa baadhi ya wagonjwa wanashauliwa wafanyiwe massage so is a health issue. However, the bottom line is who is doing that and for what purpose.
 
Mkuu, pamoja kuwa massage sio utamaduni wetu lakini ni kitu muhimu sana. Mfano kwa baadhi ya wagonjwa wanashauliwa wafanyiwe massage so is a health issue. However, the bottom line is who is doing that and for what purpose.


Nakubaliana na wewe kabisa massage inafwanyawa ili kuondoa uchovu na kumfanya mtu awe kwenye normal condition. Swala la kodi liko kama kawaida. Na kiasi cha kodi kitategemea sana ukubwa wa saluni yenyewe.
 
Mimi sielewagi kwanini haya mambo yanawasumbua watu vichwa, kwani kuna mtu analazimishwa kupelekwa kwenye hiyo massage? leseni iwe kama biashara zingine tu, ile walipe kodi etc.
 
Leseni hawana,biashara ndogo zote zilifutiwa lakini kodi wanalipa kulingana na ukubwa wa sehemu.Nawatahadhalisha wanaotaka kwenda kuna nyingine zinatoa huduma za ziada ambazo wengine zitawastua.
 
Japo halimo kwenye utamaduni wetu,ila ni katika njia moja wapo kuondoa uchovu,au kama tiba fulani. Kama ni kodi watakuwa wanalipa tu!!
 
Nikiwa kwenye mizunguko yangu nakutana na vibao vya matangazo ya massage, naona vinaendelea kuongeza.

NOW I AM THINKING LOUD, hivi hizi saloon zinatambuliwa kisheria na zina leseni yake?

Siataka hata kufikiria ni mambo gani yanafanyika huko ndani, is this not those kind of business comming in a different style?
Kwani tatizo nini?
Tatizo letu sisi ni watu wadouble standard.Tunapinga mchana, usiku tunafanya.

HILI NI TATIZO KUBWA KWETU KAMA TAIFA(DOUBLE STANDARDS)

Kenya wameonyesha njia.

Kama ni hiyo biashara, na ifanyike wazi tupate pesa ya kununua Generators tufunge pale Ubungo.
 
Kwani tatizo nini?
Tatizo letu sisi ni watu wadouble standard.Tunapinga mchana, usiku tunafanya.

HILI NI TATIZO KUBWA KWETU KAMA TAIFA(DOUBLE STANDARDS)

Kenya wameonyesha njia.

Kama ni hiyo biashara, na ifanyike wazi tupate pesa ya kununua Generators tufunge pale Ubungo.
Atakayeona pesa hiyo HARAMU, alale giza.
 
Kandambilimbili Sitataka hata kufikiria ni mambo gani yanafanyika huko ndani said:
Nina tatizo la mgongo nilishauriwa pamoja na mazoezi nifanyiwe massage mara 2-3 kwa mwezi kwahiyo na ujuzi kidogo na sehemu nyingi za massage.Sitaki kutaja majina ili nisiharibu biashara za watu lakini kuna sehemu kama 2 hapa dar nilipovua nguo nakubaki na bukta muhudumu-wa kike aliekuwa anifanyie massage nae akavua na kubakisha chupi na sidiria.Katika mazingira haya kama mtu ni dhaifu unaweza kushawishika kuhitaji huduma ingine baada ya massage.

Juzi juzi polisi wamevamia massage ya wachina mikocheni iliokuwa maarufu kwa huduma za ziada na kuwakuta mwanamke wa kichina akiwa uchi na mbongo akiwa ameshavaa soksi.
 
Kwani tatizo nini?
Tatizo letu sisi ni watu wadouble standard.Tunapinga mchana, usiku tunafanya.

HILI NI TATIZO KUBWA KWETU KAMA TAIFA(DOUBLE STANDARDS)

Kenya wameonyesha njia.

Kama ni hiyo biashara, na ifanyike wazi tupate pesa ya kununua Generators tufunge pale Ubungo.

Kuna sehemu nimepinga????????
Any way fanya homework vizuri utajua nini zaidi kinafanyika humo ndani
 
...kuna sehemu kama 2 hapa dar nilipovua nguo nakubaki na bukta muhudumu-wa kike aliekuwa anifanyie massage nae akavua na kubakisha chupi na sidiria...

...Bongo joto mkuu, huenda walikuwa wanaepuka kutokwa majasho, kazi ya kuchua si ndogo :D

Huh, i would love to be massaged na hao mabinti!
 
Kuna sehemu nimepinga????????
Any way fanya homework vizuri utajua nini zaidi kinafanyika humo ndani

...kina dada ndio wapo mstari wa mbele kupinga haya mambo, wao miaka nendna rudi oooh, nakwenda saloon, harudi mpaka baada ya masaa kadhaa... mbaya zaidi anakuja na story ooh, wasusi ni wanaume wa kizaire, mara ooh, tunafanyiwa mpaka waxing! blaaaaaaaaa!

acha na sie tujinome nome... facial scrub baada ya kunyoa, ...then massage...!
 
Kuna salon fulani iko maeneo ya Kinondoni, pale ni maarufu kwa ngono hasa wake za watu. Ndani ya Saloon kuna chumba na kitanda 6 x 6. Kuna wa kina mama waume zao huwa leta wanawake zao saloon na kurudi kuwapiki baada ya masaa 2 -3, kinachofanyika unaongea na huyo mama analetwa na mume wake akiingia saloon na njema inazama manaenda chumbani unakamuaa for an hour, unalipia kile chumba 10,000 to 20,000 Tshs. Un aishia mama anaretouch ama kuosha nywele mumewe anampitia..... kuweni makini na hizo saloon wakina baba...
 
...Bongo joto mkuu, huenda walikuwa wanaepuka kutokwa majasho, kazi ya kuchua si ndogo :D

Huh, i would love to be massaged na hao mabinti!

Hahaha! kulikuwa na air conditioning.Lakini kwa hili la massage tumewashika pabaya kina mama mi mke wangu katafuta mama 1 kamfundisha sasa ananifanyia mwenyewe nyumbani anasema hawezi kuwaamini vibinti wa mujini.
 
Sallon nadhani kulipa kodi kidogo inategemea kama ni saluni ndogo au kubwa! hupata leseni manispaa..kuna wakati serikali ilifuta kodi biashara ndogo ambazo mapato kwa mwezi ni chini ya 100,000!

Ila mambo ya massage haukuwa utamaduni wa Watz..sijui kama wana leseni!

Ila utashangaa watu matajiri na hata wanasiasa akina baba na akina mama wanenda ktk hizi sehemu za massage!

Kwani kinachoshangaza ni nini?
Massage ni tiba for stress na mambo mengine na sioni aibu kabisa kwenda kupata huduma hiyo angalau fortnightly.Unless by massage uwe una maanisha kitu tofauti na nikijuacho mie.
 
ukweli ni kwamba massage parlour zetu ni madanguro katika jina jingine.
Wasichana wanaofanya massage lazima wahakikishe wanaku lead kwenye kudai vitu vingine zaidi. Nilienda moja dada walipomaliza mgongo nilipoambiwa kugeuka na kulala chali mmoja akawa busy na naniiiiii halafu mwingine akapambana na kifua concetration ikiwa kwenye chuchu!!! Jamani jamani!! na ukigeuka unakuta hata bla ishatolewa. Nikataka nisome surat yasin, nikaona ntawamaliza!!!
 
ukweli ni kwamba massage parlour zetu ni madanguro katika jina jingine.
Wasichana wanaofanya massage lazima wahakikishe wanaku lead kwenye kudai vitu vingine zaidi. Nilienda moja dada walipomaliza mgongo nilipoambiwa kugeuka na kulala chali mmoja akawa busy na naniiiiii halafu mwingine akapambana na kifua concetration ikiwa kwenye chuchu!!! Jamani jamani!! na ukigeuka unakuta hata bla ishatolewa. Nikataka nisome surat yasin, nikaona ntawamaliza!!!

kaka mdogo mbona umekatisha stori! inaonekana ume editi sana hiii hadithi! wale navyowajua huwezi toka bure bure pale! vibinti vinatempt vile balaa! wewe alikufanyia yupi. labda yule mjamzito tu ndio amepumzika kwa sasa! ila wale wengine ni full ngono..ila hawasahau kondom ndo uzuri wao! ukiingia tuu kwenye kichumba huwa wanavua nguo zoote!! ambao hamjajaribu jamani msiende! na ni zoote za hili jiji...ufuska mtupu..
 
Back
Top Bottom