BumbleBeeBot
JF-Expert Member
- Jun 9, 2015
- 281
- 439
Aisee hivi alieanzishaga mambo ya pikipiki ya mkataba kwamba unampa boss hesabu baada ya muda flani chombo inakuwa yako ni nani? Biashara karibia zote nikwamba unafanya kazi nakulipa then chanzo cha mapato/biashara naendelea kumiliki mimi. Huu mfumo wa boda za mkataba inamaana namuwekezea dereva boda sijiwekezei mimi.
Mi nimefanya hii biashara naona haina tija zaidi ya kumfaidisha kijana aneendesha boda kama atakuwa na akili nzuri. Yaani hapa ni kwamba kwenye boda boda yako wewe unaweza ukaingiza 2m pekee na dereva akaingiza zaidi ya 10m kwa mtaji wako wa 3m.
Kiufupi yule unaempa boda akiwa na nidhamu bas anaweza jenga nyumba na akawa fresh kuliko wewe uliekuwa boss wake. Sishauri mtu awekeze kwenye boda then ampe mtu kwanza vijana pasua kichwa kinoma mpk kuna kipindi nilijuta kununua, inalipa labda uendeshe mwenyewe.
Mi nimefanya hii biashara naona haina tija zaidi ya kumfaidisha kijana aneendesha boda kama atakuwa na akili nzuri. Yaani hapa ni kwamba kwenye boda boda yako wewe unaweza ukaingiza 2m pekee na dereva akaingiza zaidi ya 10m kwa mtaji wako wa 3m.
Kiufupi yule unaempa boda akiwa na nidhamu bas anaweza jenga nyumba na akawa fresh kuliko wewe uliekuwa boss wake. Sishauri mtu awekeze kwenye boda then ampe mtu kwanza vijana pasua kichwa kinoma mpk kuna kipindi nilijuta kununua, inalipa labda uendeshe mwenyewe.