BumbleBeeBot
JF-Expert Member
- Jun 9, 2015
- 283
- 443
- Thread starter
- #21
Kwakweli aisee na Ukute jamaa anaishi kwao chumba cha uani au nyumba ya urithi alafu ana boda, oya anakuwa na jeuri huyo. Hadaiwi hesabu wala kodi, anabweteka. Una safar anakwambia uko siendi, ah naangalia mpira.Uweiezaji wa wanawake na vijana wavivu