masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 15,679
- 12,356
- Thread starter
- #241
wameniambia wakati naenda inabidi niwataarifu kabla sijaenda so nikifika kule natoa tu vyemaMasai dada kutoa hela yako baclays ukiwa uganda wakati mwingine inazingua, jamaa yangu alichemka kutoa ikabidi ashindwe kufanya mitihani kwa kutegemea hela zake barclays, so chukua tahadhali
maana acc ya dola ukifika uwez kutoa ela nyingi