Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 908
- 1,064
Biashara za ngono na usambazaji wa video pamoja na picha za ngono ni moja ya hasara za Teknolojia, serikali tunaomba uthibiti haraka maana hali sio shwali.
Moja ya mitandao ya kijamii ambayo inaongoza kusambaza video za utupu pamoja na picha ni mtandao wa WhatsApp, telegram, facebook na Instagram hiyo ni baadhi.
Kama google wameweza kuzuia kuangalia hizo video katika ukanda wa afrika ya mashariki kwanini serikali isifanye ikawa hivo kwenye hizi Application maana taifa linazama na mkombozi ni serikali maana wenye
Moja ya mitandao ya kijamii ambayo inaongoza kusambaza video za utupu pamoja na picha ni mtandao wa WhatsApp, telegram, facebook na Instagram hiyo ni baadhi.
Kama google wameweza kuzuia kuangalia hizo video katika ukanda wa afrika ya mashariki kwanini serikali isifanye ikawa hivo kwenye hizi Application maana taifa linazama na mkombozi ni serikali maana wenye