Biashara ya mifugo (ng'ombe, mbuzi, kondoo n.k)

Habari ndugu, marafiki na jamaa!!, naomben ushauri juu ya biashara hii ya ng'ombe, mbuzi au kondoo kuhusu soko na gharama za usafiri kutoka Ruvu(pwani) hadi sokoni!!, lakin si mbaya kama kuna mfanyabiashara hiyo akashirkiana nami!!!. huwa mm nanunua kwa wafugaji na kuuza kwenye masoko ya huku porini ambayo hayana bei!!.

Masoko gani ya porini unayosema? Au una maana minada ya Ngererngere, nk? Ninachokijua ni kwamba kuna wale jamaa wa Comoro, huwa wanakuja sana pande za Vigwaza mpaka Talawanda kununua mbuzi, hujawahi kutana nao hao jamaa kweli? Au hujui kama wapo? Maana hao hununua kwa bei ya juu sana.
 
Masoko gani ya porini unayosema? Au una maana minada ya Ngererngere, nk? Ninachokijua ni kwamba kuna wale jamaa wa Comoro, huwa wanakuja sana pande za Vigwaza mpaka Talawanda kununua mbuzi, hujawahi kutana nao hao jamaa kweli? Au hujui kama wapo? Maana hao hununua kwa bei ya juu sana.

yap!, mm binafsi naishi vigwaza na minada nnayotumiaga ni ya vigwaza, ruvu, kwala, chamakweza, ngerengere, gwata n.k... ila mm siwajui kukutana na hao jamaa wa comoro unaowasema wewe na sijui kama kweli wanakujaga hadi huku!. sasa swali langu "ntawezaje kuonana vip na hao jamaa?" coz ingekua vizuri sana kwa kushirikiana nao kwani watanirahishia soko nao nitawarahisishia uhangaikaji wa kutafuta bidhaa hiyo!. pamoja na hayo yote nakushkuru sana kwa ushauri wako kwani umenifungua kiasi flani.
 
yap!, mm binafsi naishi vigwaza na minada nnayotumiaga ni ya vigwaza, ruvu, kwala, chamakweza, ngerengere, gwata n.k... ila mm siwajui kukutana na hao jamaa wa comoro unaowasema wewe na sijui kama kweli wanakujaga hadi huku!. sasa swali langu "ntawezaje kuonana vip na hao jamaa?" coz ingekua vizuri sana kwa kushirikiana nao kwani watanirahishia soko nao nitawarahisishia uhangaikaji wa kutafuta bidhaa hiyo!. pamoja na hayo yote nakushkuru sana kwa ushauri wako kwani umenifungua kiasi flani.

Hawa jamaa wapo, Mama mmoja wa Kimasai anatokea Nadanya ameshafanya nao hii kitu. Unakujua Nadanya karibu na Lugoba? Kuna wakati huyu Mama alikuwa anafika mitaa ya Pinko. Ngoja nimtafute hewani. Halafu nitakurudia na majibu safi.
 
yap!, Nadanya na Pingo napajua sana mkuu Malila japo pingo ndo near xana!, ng'ombe, mbuz na kondoo ziko kbao hku ila ishu ni masoko!!.
 
I like Malila , mambo yake ni straight bila kinyongo. Pia mkuu mbapa muwe nmnaenda kuchungulia masoko, hapo comoro ni karibu sana unaweza kwenda ukachunguza na kukutana na watu!

CYBERTEQ

Ni kweli Comoro karibu lakini urasimu wa vibali wizarani unapafanya comoro kuwa mbali sana. Kwa uzoefu binafsi nilijaribu kufuatilia vibali ili nipeleke nyama au ng'mbe wazima comoro. Nilizungushwa na watumishi wa serikali pale mwisho wa siku eti wananipa namba ya dalali ambaye huwa anapeleka ng'ombe kule kuwa niwasiliane nae ili nimtumie yeye badala ya mimi kupeleka kule kwa jina langu. Nikaona wanalazimisha ukiritimba kwa faida yao
 
Kwan soko lao lipoje huko comoro?, wanaenda kufuga au kuchinja?, kwani kule comoro kuna uhaba wa hizo mifugo?.
 
Mimi ninayo bucha iko kitumbini dsm inafanya kazi tangu 1978 natafuta mtu anaye weza kuniletea nyama ya n'gombe isiyo kua na mafuta sana nyama nzuri na bei iwe kwa kilo 4200 maanake anaye niletea kafariki na mtoto wake kapandesha bei sana
mimi nauza kuku aina zote ya samaki mbuzi soseji kwahiyo atakaye taka kufanya kazi daima na mie just pm me
 
yap!, sara-22 nyama ya ng'ombe unahtaj?, mmh lakin bucha1 si utatumia gharama kubwa usafiri then inahtajika ng'ombe mmoja tu?. huoni kua inagharimu?. ingehitajka kiasi kingi cha nyama kidogo ina uafadhali cster. Malila Vip contact za jamaa wanaotaka ng'ombe bila kuchinja?. THANKS
 
Last edited by a moderator:
Kwan soko lao lipoje huko comoro?, wanaenda kufuga au kuchinja?, kwani kule comoro kuna uhaba wa hizo mifugo?.

Comoro wanaingiza zaidi toka huku kwetu, mbuzi na ng`ombe ni kwa kuchinja mkuu.
 
Biashara nzuri sana hiyo hata Mimi huwa naitamani sana. Huwa nafikria kuanzisha mradi wa kunenepesha na kuchinja yaani unatoa kitu cha daraja la kwanza. Kwa kweli inalipa sana!
 
I like Malila , mambo yake ni straight bila kinyongo. Pia mkuu mbapa muwe nmnaenda kuchungulia masoko, hapo comoro ni karibu sana unaweza kwenda ukachunguza na kukutana na watu!

Tatizo la biashara ya COMORO lazima uwe na Mwenyeji wakule vinginevyo Biashara itakudodea napia Pamoja na umwinyi wao pi kunautapeli ni Mwingi
 
Last edited by a moderator:
Kwan soko lao lipoje huko comoro?, wanaenda kufuga au kuchinja?, kwani kule comoro kuna uhaba wa hizo mifugo?.

Kule ni kisiwa Bidhaa nyingi wanaagiza na Vyakula ni Biashara nzuri sana Mf,hao wanyama inaweza kukulipa mara mbili ya bei uliyopelekea,Tatizo uRASIMU lazima uwe na dalali naili upate faida nzuri unatakiwa ukakomae il uuze Rejareja utapeli pia upo,,!
 
nikwel dolevaby , nnachotaka mm ni mtu mweny soko zuri na mm ni msakaji wa bidhaa porini kwa bei nzuri!
 
Last edited by a moderator:
Mbuzi unanua kwa bei gani?
Mimi ninayo bucha iko kitumbini dsm inafanya kazi tangu 1978 natafuta mtu anaye weza kuniletea nyama ya n'gombe isiyo kua na mafuta sana nyama nzuri na bei iwe kwa kilo 4200 maanake anaye niletea kafariki na mtoto wake kapandesha bei sana
mimi nauza kuku aina zote ya samaki mbuzi soseji kwahiyo atakaye taka kufanya kazi daima na mie just pm me
 
Tatizo la biashara ya COMORO lazima uwe na Mwenyeji wakule vinginevyo Biashara itakudodea napia Pamoja na umwinyi wao pi kunautapeli ni Mwingi
mcomoro anakufuata hata kama uko shinyanga na wanabei nzuri anakuja kununulia hapohapo unapofugia kusafirisha juu yake.
 
Back
Top Bottom