Biashara ya majeneza nayo pia imeanguka

Biashara ya majeneza nayo pia imeanguka

Mahojiano mafupi na mfanyabiashara maarufu wa majeneza mitaa ya Tandika yamenifanya najiuliza maswali mengi. Je, maisha magumu kiasi kwamba watu hawataki kufa au ni mtikisiko wa uchumi unagusa mpaka kazi hizo.

Mfanyabiashara huyo amesema biashara imeanguka kwa zaidi ya 50% tofauti na miaka ya nyuma.

Nini maoni yako watu hawafi sana au nini?
Mtikisiko wa kiuchumi watu wanazika pekupeku shimoni, hakuna mambo ya jeneza, rambirambi ni jerojero; chezea uchumi wa viwanda wewe?!
 
Mahojiano mafupi na mfanyabiashara maarufu wa majeneza mitaa ya Tandika yamenifanya najiuliza maswali mengi. Je, maisha magumu kiasi kwamba watu hawataki kufa au ni mtikisiko wa uchumi unagusa mpaka kazi hizo.

Mfanyabiashara huyo amesema biashara imeanguka kwa zaidi ya 50% tofauti na miaka ya nyuma.

Nini maoni yako watu hawafi sana au nini?


Wanazikana bila majeneza, wanawaiga Waislam.
 
Wanazikana bila majeneza, wanawaiga Waislam.

Kila siku hua nasema, utaratibu wa maziko wa kiislam hauna mbwembwe nyingi, lengo ni kumhifadhi marehem, na ndio kinachofanyika.

Inabidi tuige na kwenye harusi pia, kwa mwendo huu tutabadilika tu kadri muda unavyoendelea, haiwezekani bajeti za harusi kuwa 10M, 15M, 20M sijui 50M. wakati kuna vitu vya msingi vingi tu vinapuuziwa.

Umuhimu wa ndoa ni kanisani au msikitini pale mnapopewa cheti na kutangazwa mume na mke, mengine baada ya hapo ni anasa tu.
 
Hii sasa kali

OVA
Jamaa anasema Kwa week walikuwa wana uza majeneza 12 mpk 14 Kwa sababu walikuwa na ofisi mbili moja temeke moja mbagala Sasa hivi ananiambia Mwisho matano Kwa week
 
Kila siku hua nasema, utaratibu wa maziko wa kiislam hauna mbwembwe nyingi, lengo ni kumhifadhi marehem, na ndio kinachofanyika.

Inabidi tuige na kwenye harusi pia, kwa mwendo huu tutabadilika tu kadri muda unavyoendelea, haiwezekani bajeti za harusi kuwa 10M, 15M, 20M sijui 50M. wakati kuna vitu vya msingi vingi tu vinapuuziwa.

Umuhimu wa ndoa ni kanisani au msikitini pale mnapopewa cheti na kutangazwa mume na mke, mengine baada ya hapo ni anasa tu.


Uislam ni mwema sana katika maishz yote na si kwenye kuzikana na ndoa tu.

Usomeni vizuri Uislam na si ule wa kwenye media zinazouzulia uongo wa kila aina.
 
Back
Top Bottom