ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 24,866
- 60,871
- Thread starter
- #41
Kwa lishe zipi.. Wakati kitaa tunakula vumbiLabda afya imeboreka na hivyo life expectancy kuongezeka!
Kwa lishe zipi.. Wakati kitaa tunakula vumbiLabda afya imeboreka na hivyo life expectancy kuongezeka!
watu walizoea kufanya msiba kama Arusi sasa tumerudi kama zamani.Watu wanakufa kama kawa, ila hawazikwi kifahari kama zamani... Mtu akifa, anatiwa kwenye box la mbao kama mzinga wa nyuki then anapelekwa six feet under! Yale mambo sijui ya jeneza lililorembwa kwishney...
Waislamu wana jet fighter yao inapaki misikitini ni free of charge, sasa jeneza la nini?
Kuna Quran ya kiswahili au kiingereza nianze kuisomaUislam ni mwema sana katika maishz yote na si kwenye kuzikana na ndoa tu.
Usomeni vizuri Uislam na si ule wa kwenye media zinazouzulia uongo wa kila aina.
Mkuu MBONA iko wazi mimi nimezungumzuia MFANO WA Takwimu za huyo mfanyabiashara amedai zamani Kwa week walikuwa wanauza majeneza 12 kwenye ofisi zao mbili temeke na mbagala Kwa Sasa wanapata order ya majeneza 4 mpk 5..kwa Takwimu hizo na uhakika ni 50%...Ila Kuna nyingine Uongo MFANO ETI biashara ya mafutA Imepungua Kwa 50% siikubali kabisa hiko ni kiwango kikubwa SanaSijui asilimia zinatumika sawa sawa au nazo zinapigwa kisiasi zaid asilimia 50 kibiashara sio mchezo mchezo hebu turudi darasani tujifunze tens hesabu
Kuna Quran ya kiswahili au kiingereza nianze kuisoma
Jamaa anasema Kwa week walikuwa wana uza majeneza 12 mpk 14 Kwa sababu walikuwa na ofisi mbili moja temeke moja mbagala Sasa hivi ananiambia Mwisho matano Kwa week
Lazima tuisome wote mpaka dakika ya mwisho.Hahaha mkuu wewe ni noma asee life tough huwez kutuacha peke yetu
Acha kuongea pumbaaaWatu wanakufa kama kawa, ila hawazikwi kifahari kama zamani... Mtu akifa, anatiwa kwenye box la mbao kama mzinga wa nyuki then anapelekwa six feet under! Yale mambo sijui ya jeneza lililorembwa kwishney...
Bora mie naongea pumba. Wewe unaongea kama vile umezaliwa leo... Yani unaongea mambo ya kitoto toto, utoto toto mwiingiii. Inabidi ifike mahali JF wazuie watoto under 18 kama wewe kuingia kwenye majukwaa!Acha kuongea pumbaaa
Hiyo ndiyo itakuwa sababu inayofanya wateja wasirudi tena, halafu yeye anaona biashara ngumu kumbe yeye mwenyewe sio mbunifu.Hivi kwa nini wanapouza majeneza huwa hakuna kibao cha KARIBU TENA
Haah..!!![emoji102] [emoji102][emoji86] [emoji86] [emoji86] [emoji87] [emoji87]Mahojiano mafupi na mfanyabiashara maarufu wa majeneza mitaa ya Tandika yamenifanya najiuliza maswali mengi. Je, maisha magumu kiasi kwamba watu hawataki kufa au ni mtikisiko wa uchumi unagusa mpaka kazi hizo.
Mfanyabiashara huyo amesema biashara imeanguka kwa zaidi ya 50% tofauti na miaka ya nyuma.
Nini maoni yako watu hawafi sana au nini?