Biashara ya kuuza na kununua unga majani ya Mlonge

Biashara ya kuuza na kununua unga majani ya Mlonge

e3e3e092727660e77c66c939bbff713f.jpg
 
tupe faida zake ili tupate morali ya kutumia hiyo kitu
 
Uko wapi mkuu na unauzaje? Huo unga ukiuchanganya na asali na Habat Sawdaa ni tiba ya maradhi kibao! Ni pm namba yako
 
yaani siku hizi kila dawa ya mmea utaambiwa unaongeza hamu ya tendo la ndoa,kuongeza nguvu za kiume, kufungua mirija ya uzazi, kuongeza cd4, miguu kuwaka moto....ma.ma.ee
 
Wanasema mlonge ni mti uliobeba viinilishe vingi sana..na kawaida mwili wa binadamu ukipata viinilishe vyote vya msingi, hata magonjwa unayasikilizia tu redioni..sababu processes zote za mwili zinafanyika vyema..
 
Hapo...cha muhimu uwe unga wa majani ya mlonge kweli........maana!!!
 
Kwa wasio fahamu vizui huu mti wa google MORINGA, unafaida kubwa sana kwa binadamu na wanyama. Nilipeleka mbegu nyingi shambani, mbegu zaidi ya 1000 na ziliota vizuri sana, na huu mmea hauna hata tabu ya kukua, nilivyo ondoka tu kwenda kwenye safari zangu mche yote ikafa, mara imeliwa na kuku mara upepo mwingi, Maana yangu ni kwamba watu hawaufahamu vizuri huu mmea.
 
Ukitupia hapo bei utapunguza usumbufu wa maswali, weka bei ili kama inaendana na kilichopo mfukoni tukuendee hewani!
Kwa sasa Unga wa Majani ya Mlonge Tsh 20000/-@ 1kg na Unga wa Mbegu za Mlonge ni Tsh 25000/-@ 1kg
 
Mimi ntakuuzia Unga wa Mlonge aina zote. Then wewe ukipata shaka fanya kuupima tu.
 
mimi nakunywa mlonge natumia majani kama kiungo sijui hata faida yake
 
Back
Top Bottom