She Quoted you
JF-Expert Member
- Oct 19, 2020
- 687
- 1,163
Habari wana Jf.
Mim ni mkazi wa Dar es salaam, ninataka kufanya hii biashara ya kuuza kuku wa kukaanga
Naomba kufahamishwa kuhusu.
1.Bei ya kuku wa kisasa + Maeneo wanayopatikana kwa wingi
2.Kuku mmoja anatoa vipande vingapi
3.Vipande vinauzwa sh. ngapi ngapi
4.Mtaji mzuri wa kuanzia hii biashara
5.Changamoto
Bonus:
Maeneo mazuri ya kufanyia hii biashara eg.Buguruni,Kimara,Gongo la mboto,Mbagala etc.
Mim ni mkazi wa Dar es salaam, ninataka kufanya hii biashara ya kuuza kuku wa kukaanga
Naomba kufahamishwa kuhusu.
1.Bei ya kuku wa kisasa + Maeneo wanayopatikana kwa wingi
2.Kuku mmoja anatoa vipande vingapi
3.Vipande vinauzwa sh. ngapi ngapi
4.Mtaji mzuri wa kuanzia hii biashara
5.Changamoto
Bonus:
Maeneo mazuri ya kufanyia hii biashara eg.Buguruni,Kimara,Gongo la mboto,Mbagala etc.