Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,364
- 1,078
Nimepitia katika makundi ya wafugaji wa kuku naona wana kuku wengi sana wanatangaza kuuza.
Sasa najua JF ni jukwaa pana sana, wapo watu wanajua kuanzia mtaji, mahitaji, faida na hasara za biashara hii.
Nisaidiwe kijana mwenzenu, ajira ni ngumu tunakosa kila mwaka, kwahiyo ngoja tupambane upande wa pili.
Asanteni.
Sasa najua JF ni jukwaa pana sana, wapo watu wanajua kuanzia mtaji, mahitaji, faida na hasara za biashara hii.
Nisaidiwe kijana mwenzenu, ajira ni ngumu tunakosa kila mwaka, kwahiyo ngoja tupambane upande wa pili.
Asanteni.