Mwafrika mmoja
Member
- Mar 15, 2019
- 44
- 112
Habari za Asubuhi wakuu humu ndani natumahi mko poa.
Sasa kama mada inavyojieleza hapo juu, mimi nimekuwa nikifanya utafiti mbalimbali hapa Dar es Salaam kuhusu biashara ambazo mtu ukizifanya kwa sasa ni haraka tu unatoboa kimaisha. Miongoni mwa biashara hizo ni biashara ya kuuza nafaka kwa jumla na rejareja, kuuza chakula chenyewe hapa namaanisha restaurant pamoja na biashara ya simu na accessories.
Nina mchanganuo wa biashara zote tajwa hapo juu, kuanzia mtaji wa milioni 5 ili kuweza kufanikiwa kwa urahisi zaidi. Kwa yeyote mwenye mtaji ambao hana wazo wala mchanganuo wa biashara namkaribisha tuweze kushirikiana.
Sasa kama mada inavyojieleza hapo juu, mimi nimekuwa nikifanya utafiti mbalimbali hapa Dar es Salaam kuhusu biashara ambazo mtu ukizifanya kwa sasa ni haraka tu unatoboa kimaisha. Miongoni mwa biashara hizo ni biashara ya kuuza nafaka kwa jumla na rejareja, kuuza chakula chenyewe hapa namaanisha restaurant pamoja na biashara ya simu na accessories.
Nina mchanganuo wa biashara zote tajwa hapo juu, kuanzia mtaji wa milioni 5 ili kuweza kufanikiwa kwa urahisi zaidi. Kwa yeyote mwenye mtaji ambao hana wazo wala mchanganuo wa biashara namkaribisha tuweze kushirikiana.