Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,008
- 44,837
Wakuu,tujuzeni soko la nje ya Tanzania kwa mazao ya matunda kutoka kanda ya kati yenye matunda mengi ya ubuyu na zabibu
Kwa zabibu wenyewe wanalima sana huko kwa hiyo kupata soko ulaya ni kazi labda within Africa na ubuyu kwa kweli sina uhakika ila huwa naona kwenye maduka ya wahindi