KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,511
Mzee hebu lete mrejesho wa mafanikio yetuPersonally nimeanza na shamba la miembe eka kumi lazima nije export
NI miembe ya kisasa toka SUA pale.
\Piga ua galagaza lazima einde pande za mbali
Mzee hebu lete mrejesho wa mafanikio yetuPersonally nimeanza na shamba la miembe eka kumi lazima nije export
NI miembe ya kisasa toka SUA pale.
\Piga ua galagaza lazima einde pande za mbali
Unamwagia dawa hiyo miche?Personally nimeanza na shamba la miembe eka kumi lazima nije export
NI miembe ya kisasa toka SUA pale.
\Piga ua galagaza lazima einde pande za mbali
NaamUnamwagia dawa hiyo miche?
Mmh hao wazungu na dawa sijui Kama utatoboa soko la nje maana hata migawaha mikubwa nasikiaga wanakuwaga wagumu kununua vitu vyenye sumuNaam
Yaani Uganda wanunue ndizi bukoba? Hebu acha masihara basi.Wakuu naomba ushauri wenu.
Nimekuwa nitembelea maduka mbali mbali katika nchi za Ulaya hasa UK na kukuta bidhaa kazaa za kutoka Uganda na Kenya lakini sijawahi kuona bidhaa zozote kutoka Tanzania katika maduka ya UK. Nikiwa Tanzania naona kuna matunda mengi kama Machungwa, Mahembe, Nanasi, Mapalachichi, nk zimerundikwa tu barabarani na vinauzwa kwa bei ya chini sana kulinganisha na bei ya Ulaya.
Je kwa nini Watanzania hatuna akili ya kuweza kupeleka hivi vitu Ulaya na kupata soko zuri.
Mimi napenda sana ndizi Bukoba na huwa nazipata kwa urahisi sana katika Maduka ya UK zikiwa zina nembo ya (Product of Uganda). Hawa jamaa wananunua ndizi hata kutoka Bukoba na Karagwe. Sisi kwa nini tusifanye hivyo tena kutoka hata Mbeya? Waganda wanauza majimbi, viazi na hata nyanya chungu katika soko la Ulaya. Sisi tumelogwa?
Wakenya wametawala soko la maua, sisi kwa nini hatuwezi?
Naomba mawazo yenu
Tupe ushauri mkuuWakuu naomba ushauri wenu.
Nimekuwa nitembelea maduka mbali mbali katika nchi za Ulaya hasa UK na kukuta bidhaa kazaa za kutoka Uganda na Kenya lakini sijawahi kuona bidhaa zozote kutoka Tanzania katika maduka ya UK. Nikiwa Tanzania naona kuna matunda mengi kama Machungwa, Mahembe, Nanasi, Mapalachichi, nk zimerundikwa tu barabarani na vinauzwa kwa bei ya chini sana kulinganisha na bei ya Ulaya.
Je kwa nini Watanzania hatuna akili ya kuweza kupeleka hivi vitu Ulaya na kupata soko zuri.
Mimi napenda sana ndizi Bukoba na huwa nazipata kwa urahisi sana katika Maduka ya UK zikiwa zina nembo ya (Product of Uganda). Hawa jamaa wananunua ndizi hata kutoka Bukoba na Karagwe. Sisi kwa nini tusifanye hivyo tena kutoka hata Mbeya? Waganda wanauza majimbi, viazi na hata nyanya chungu katika soko la Ulaya. Sisi tumelogwa?
Wakenya wametawala soko la maua, sisi kwa nini hatuwezi?
Naomba mawazo yenu
Atupe uzoefu wa huko,tutafuata!umeona eeh! Yeye aanze wengine watafatia kuliko kuendelea kulalamika tumeshindwa.
Anza kaka, fungua njia.
Labda alishafarikiAtupe uzoefu wa huko,tutafuata!
Hutaki au??? wamejazana waganda kibao vijijini, sio ndizi tu wananunua hadi mashina ya mgombaYaani Uganda wanunue ndizi bukoba? Hebu acha masihara basi.
Utawala mbovu wa CCM unaamini katika uchawi wa mwenge. Kazi ya mwenge ni kupumbaza wananchi wasione fursa na wala wasifikirie nje ya boksiWakuu naomba ushauri wenu.
Nimekuwa nitembelea maduka mbali mbali katika nchi za Ulaya hasa UK na kukuta bidhaa kazaa za kutoka Uganda na Kenya lakini sijawahi kuona bidhaa zozote kutoka Tanzania katika maduka ya UK. Nikiwa Tanzania naona kuna matunda mengi kama Machungwa, Mahembe, Nanasi, Mapalachichi, nk zimerundikwa tu barabarani na vinauzwa kwa bei ya chini sana kulinganisha na bei ya Ulaya.
Je kwa nini Watanzania hatuna akili ya kuweza kupeleka hivi vitu Ulaya na kupata soko zuri.
Mimi napenda sana ndizi Bukoba na huwa nazipata kwa urahisi sana katika Maduka ya UK zikiwa zina nembo ya (Product of Uganda). Hawa jamaa wananunua ndizi hata kutoka Bukoba na Karagwe. Sisi kwa nini tusifanye hivyo tena kutoka hata Mbeya? Waganda wanauza majimbi, viazi na hata nyanya chungu katika soko la Ulaya. Sisi tumelogwa?
Wakenya wametawala soko la maua, sisi kwa nini hatuwezi?
Naomba mawazo yenu
Mpaka hapo sijakubali maana sio kwa ndizi zilivyojaa huku kabda ziwe variety amvayo hawana huku au huko kijijini kwenu bei iko chini mno kuliko ya UgandaHutaki au??? wamejazana waganda kibao vijijini, sio ndizi tu wananunua hadi mashina ya mgomba