Biashara ya kahawa,inavyonitoa kwenye umaskini niliokua nao taratibu.

Biashara ya kahawa,inavyonitoa kwenye umaskini niliokua nao taratibu.

Akotia

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
569
Reaction score
1,348
Natokea Arusha,Kahawa ni zao kubwa la biashara. Sababu nimekulia Dar,mwaka juzi kwa kuchoshwa na kunywa kahawa mbovu na chini ya kiwango nikaamua niwe naagiza green beans kutoka Arusha,nakaanga mwenyewe na kutumia pamoja na kugawa kwa familia.. kipindi hiko nafanya kazi sehemu kwahiyo sikuchukulia serious sana kuifanya iwe biashara. Mwaka jana mapemaa nikaacha kazi yangu ghafla kwa matatizo huku nikiwa sina backup plan(accountant). Nikasota sana mtaani lakini bado wanafamilia na marafiki wakiwa wanataka kahawa wananitafuta mimi. Nikaamua niifanye biashara rasmi kabisa ili nisife njaa..

Sasa hivi nimekua nikiongeza wateja kila mara na wateja wa kujirudia rudia wengi. Bado ofisi yangu nafanyia nyumbani na mtandaoni. Wateja wanaongezeka kila siku na nimepata mwangaza mpya kwenye maisha yangu. Kahawa yangu ni fresh na kila siku na roast batch mpya from Dark roast to medium.

Hii ni website yangu www.brewa.co.tz
 
Kuna wakati nimewahi kufikiria kufanya hii kitu lakini bado nitafanya Tu, it's just a matter of time.

Mkuu kama unaweza unaweza kufungua pia Coffee Pub, kama wanavyokuwa na Alcohol Pub basi wewe unakuwa na Pub yako ya Coffee, wateja wapo wengi Tu sema ni vile hawajapata maeneo yao ya kukaa na kutulia kupata kahawa
 
Kuna wakati nimewahi kufikiria kufanya hii kitu lakini bado nitafanya Tu, it's just a matter of time.

Mkuu kama unaweza unaweza kufungua pia Coffee Pub, kama wanavyokuwa na Alcohol Pub basi wewe unakuwa na Pub yako ya Coffee, wateja wapo wengi Tu sema ni vile hawajapata maeneo yao ya kukaa na kutulia kupata kahawa
Mkuu Asante sana. Hiyo ndio plan yangu.. kusema kweli tuna kahawa nzuri sana halafu wanaiyoifaidi ni watu wa nje huku na matajiri wanaokunywa coffee shops.. huku mtaani watu wanauziwa na kunyweshwa vitu vya ajabu tu.
 
Mkuu Asante sana. Hiyo ndio plan yangu.. kusema kweli tuna kahawa nzuri sana halafu wanaiyoifaidi ni watu wa nje huku na matajiri wanaokunywa coffee shops.. huku mtaani watu wanauziwa na kunyweshwa vitu vya ajabu tu.
Mimi nashangaa Sana vitu vizuri kama hivi muamko unakuwa mdogo, sehemu nyingi wanazosema wanauza kahawa nimejaribu Sana zile siyo kahawa halisi, Kwa mtu anayefahamu hata Kwa harufu tu anagundua kuwa zile siyo kahawa Bali ni kitu kingine tofauti, lakini bado tunayo nafasi ya kubadili mtizamo .

Wageni/wazungu wanapotembelea maeneo ya kiutalii hii kahawa wanauziwa bei ghali Sana , na hiyo inaonesha thamani kubwa ya kahawa yetu.

Coffee shops inawezekana kabisa, watu wakae wafanye mazungumzo kwenye coffee shops kama wale wanaokaa Bar the same
 
Nilianza na kilo moja ya mchele sasa leo naagiza tani 10.
Hizi stori bwana mda mwengine nazipita
IMG_4819.jpeg



Kupitia website hii- www.brewa.co.tz . Unaweza uka order directly kupitia whatsapp.. utajaza order yako na location na utahudumiwa haraka. Kumbuka kahawa yangu ni premium na fresh roast. Kuna light,medium and Dark roast. Ukitaka nikusagia kwa ulaini unaotaka pia inawezekana… Karibu
 
Mimi nashangaa Sana vitu vizuri kama hivi muamko unakuwa mdogo, sehemu nyingi wanazosema wanauza kahawa nimejaribu Sana zile siyo kahawa halisi, Kwa mtu anayefahamu hata Kwa harufu tu anagundua kuwa zile siyo kahawa Bali ni kitu kingine tofauti, lakini bado tunayo nafasi ya kubadili mtizamo .

Wageni/wazungu wanapotembelea maeneo ya kiutalii hii kahawa wanauziwa bei ghali Sana , na hiyo inaonesha thamani kubwa ya kahawa yetu.

Coffee shops inawezekana kabisa, watu wakae wafanye mazungumzo kwenye coffee shops kama wale wanaokaa Bar the same
Hua wanachanganya na haya madude kutokea mtwara.. hayana ladha wala harufu ya kahawa ila yana texture inayofanana.. inakaangwa hii pamoja na kahawa ndio mtaani wanauziwa. Inshort mambo haya yapo Dar tu ila Arusha hakuna.. Kahawa sasa hivi ni bei huwezi kuuza kikombe mia labda uanze miambili kea kijikombe kidogo.
IMG_0792.jpeg
 
Natokea Arusha,Kahawa ni zao kubwa la biashara. Sababu nimekulia Dar,mwaka juzi kwa kuchoshwa na kunywa kahawa mbovu na chini ya kiwango nikaamua niwe naagiza green beans kutoka Arusha,nakaanga mwenyewe na kutumia pamoja na kugawa kwa familia.. kipindi hiko nafanya kazi sehemu kwahiyo sikuchukulia serious sana kuifanya iwe biashara. Mwaka jana mapemaa nikaacha kazi yangu ghafla kwa matatizo huku nikiwa sina backup plan(accountant). Nikasota sana mtaani lakini bado wanafamilia na marafiki wakiwa wanataka kahawa wananitafuta mimi. Nikaamua niifanye biashara rasmi kabisa ili nisife njaa..

Sasa hivi nimekua nikiongeza wateja kila mara na wateja wa kujirudia rudia wengi. Bado ofisi yangu nafanyia nyumbani na mtandaoni. Wateja wanaongezeka kila siku na nimepata mwangaza mpya kwenye maisha yangu. Kahawa yangu ni fresh na kila siku na roast batch mpya from Dark roast to medium.

Hii ni website yangu www.brewa.co.tz
Imekaa vizuri
 
Mimi nashangaa Sana vitu vizuri kama hivi muamko unakuwa mdogo, sehemu nyingi wanazosema wanauza kahawa nimejaribu Sana zile siyo kahawa halisi, Kwa mtu anayefahamu hata Kwa harufu tu anagundua kuwa zile siyo kahawa Bali ni kitu kingine tofauti, lakini bado tunayo nafasi ya kubadili mtizamo .

Wageni/wazungu wanapotembelea maeneo ya kiutalii hii kahawa wanauziwa bei ghali Sana , na hiyo inaonesha thamani kubwa ya kahawa yetu.

Coffee shops inawezekana kabisa, watu wakae wafanye mazungumzo kwenye coffee shops kama wale wanaokaa Bar the same
hua wanachanganya na mambegu flani hvi au makapi ya kahawa.
 
Nilianza na kilo moja ya mchele sasa leo naagiza tani 10.
Hizi stori bwana mda mwengine nazipita
Endelea kuzipita lakini tambua kuwa ndani yake kuna ukweli

Kitu kibaya sana kinachotufelisha tuliowengi ni kukosekana kwa ujasiri wa kuanza na hasa hasa kuanza na kidogo!

Unaanza kuwaza watanionaje, nitapata faida shilingi ngapi na kila aina ya kujikatisha tamaa

Hii ya kuanza na kilo 10 za mchele na kuagiza tani 10 sio hadithi za kusadikika mengine ni ya ukweli (sio lazima iwe kilo 10 na sio lazima ziwe tani 10, ni mfano wa kuanzia padogo na kufikia pakubwa)

Juzi humu nilitolea mfano wa jamaa niliyekuwa naishi nae (nafahamu kipato chake, nafahamu alikuwa na nini na nafahamu alifikaje alipofika tena akiwa mgonjwa wa kuhudhuria kliniki Muhimbili kila mwezi)

Jamaa alianza biashara ya kumenya machungwa kwa Tsh.40,000/= ambayo nilimkopesha akaja kuishia kununua viatu vya mtumba (vile vya buku buku, buku jero, buku mbili, buku tano) pale Ilala Boma na kusafirisha mkoani ambapo alikuwa anauwezo wa kuuza kiatu hadi kwa Tsh.25,000/=

Unaweza kupiga hesabu mwenyewe sasa hivi hiyo Tsh.40,000/= imemfikisha wapi na ukikaa nayo bar inachukua muda gani kuisha

Mwingine ninayemfahamu alianza kuuza Tirshirt za shule kwa mali kauli kutoka kwa wale wanao print kila wiki anarudisha pesa anabaki na faida yake.

Hivi tunavyoongea anamiliki kiwanda chake mwenyewe (neno kiwanda lisikutishe, ni eneo la uzalishaji) cha ku print tirshirt na anauza mwenyewe

Mchawi wa maendeleo ni uthubutu bila kujali unaanza na nini. Unacheza ngoma ya Yass ya "anzia ulipo"
 
Mkuu Asante sana. Hiyo ndio plan yangu.. kusema kweli tuna kahawa nzuri sana halafu wanaiyoifaidi ni watu wa nje huku na matajiri wanaokunywa coffee shops.. huku mtaani watu wanauziwa na kunyweshwa vitu vya ajabu tu.
Sina cha kukuambia ila nakupongeza na kukupa moyo kuwa unafanya jambo zuri sana. Zingatia sana quality na packaging iwe nzuri (kitu ambacho nadhani unafanya vizuri). Jina la bidhaa pia naunga mkono.
 
Sina cha kukuambia ila nakupongeza na kukupa moyo kuwa unafanya jambo zuri sana. Zingatia sana quality na packaging iwe nzuri (kitu ambacho nadhani unafanya vizuri). Jina la bidhaa pia naunga mkono.
Nashkuru sana.
 
Sina cha kukuambia ila nakupongeza na kukupa moyo kuwa unafanya jambo zuri sana. Zingatia sana quality na packaging iwe nzuri (kitu ambacho nadhani unafanya vizuri). Jina la bidhaa pia naunga mkono.
Nashkuru sana
 
Natokea Arusha,Kahawa ni zao kubwa la biashara. Sababu nimekulia Dar,mwaka juzi kwa kuchoshwa na kunywa kahawa mbovu na chini ya kiwango nikaamua niwe naagiza green beans kutoka Arusha,nakaanga mwenyewe na kutumia pamoja na kugawa kwa familia.. kipindi hiko nafanya kazi sehemu kwahiyo sikuchukulia serious sana kuifanya iwe biashara. Mwaka jana mapemaa nikaacha kazi yangu ghafla kwa matatizo huku nikiwa sina backup plan(accountant). Nikasota sana mtaani lakini bado wanafamilia na marafiki wakiwa wanataka kahawa wananitafuta mimi. Nikaamua niifanye biashara rasmi kabisa ili nisife njaa..

Sasa hivi nimekua nikiongeza wateja kila mara na wateja wa kujirudia rudia wengi. Bado ofisi yangu nafanyia nyumbani na mtandaoni. Wateja wanaongezeka kila siku na nimepata mwangaza mpya kwenye maisha yangu. Kahawa yangu ni fresh na kila siku na roast batch mpya from Dark roast to medium.

Hii ni website yangu www.brewa.co.tz
Kila la kheri mkuu
 
Back
Top Bottom