Biashara ya dagaa wa nyama

kinywanyuku

JF-Expert Member
Jul 13, 2015
3,563
2,628
Wakuu habari za asubuhi,

Naomba kujua anayefanya biashara ya Dagaa wa Nyama wale wa Zanzibar. Vipi, hapa kwa Dar soko lipoje wanapendwa?

Nikitaka mzigo na chukulia wapi kwa jumla na je, mtaji wa laki mbili unatosha?

Nashukuru
 
ukitaka dagaa nyama Mimi nauza mkuu..... npo tanga mjini ila mikoani pia huwa nasafirisha kwa uaminifu mkubwa.... ndoo kubwa ya kg kumi Mimi nauza 55,000 tuu.... naweza pia nkakuelekeza jinsi ya kufunga Kama utapenda... karibu
 
Qurie, Nashukuru mkuu nikichukua ndoo moja mpaka dar je usafiri malipo juu ya nani maana me npo dar
 
Wakuu habari za asubuhi naomba kujua anayefanya biashara ya dagaa wa nyama wale wa Zanzibar vp hapa kwa dar soko lake je wanapendwa? Nikitaka mzigo na chukulia wapi kwa jumla, kwa mtaji wa laki mbili unatosha? Nashukuru
Mkuu hiyo biashara ina lipa lakini mtaji wako mdogo kule znz unanunua kila kg 4500 au 4600 ww huku dar utauza kg 6000
 
Unauzia wapi.. Na ww unaanika au unanua kwa wavuvi mana bei yako kubwa
Mimi nachukulia kwa wavuvi mkuu.... Na hi ndo Bei yake pia
Bei yake huwa inapanda na kushuka kutokana na upatikanaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom