kinywanyuku
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 3,565
- 2,631
Wakuu habari za asubuhi,
Naomba kujua anayefanya biashara ya Dagaa wa Nyama wale wa Zanzibar. Vipi, hapa kwa Dar soko lipoje wanapendwa?
Nikitaka mzigo na chukulia wapi kwa jumla na je, mtaji wa laki mbili unatosha?
Nashukuru
Naomba kujua anayefanya biashara ya Dagaa wa Nyama wale wa Zanzibar. Vipi, hapa kwa Dar soko lipoje wanapendwa?
Nikitaka mzigo na chukulia wapi kwa jumla na je, mtaji wa laki mbili unatosha?
Nashukuru