Nathd
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 290
- 210
Hivyo vigezo we unavyo? Biashara ya kuchangia watu wawili inachangamoto zake kumbuka, tena wa kumtafuta JF hata hamfahamiani background na mengineyo! Nenda katafute pesa zilizobaki kisha rudi fanya biashara, we ndo unaanza halafu unataka uanze na kila kitu! hata kavu kwanza zinatosha, ukitaka labda na mishkak then kusanya hela ndo ukuze mtaji.