Dogo zero,..ushawai fanya hii biashara...mim hapo katkat baada ya kuona thread nyiing za kuisifia hii biashara,nikasema ngoja niifanye sasa kwa ukubwa,.maanina kilichotokea nikwamba biashara imekufa na mi vifaa imebid niiweke kupatana nmeuza yote
Na nilinunua vifaa vya garama.freezers..majiko makubwa ya gas yale,makabat,meza za kisasa,nilijenga hadi counter.. inshort nilifungua kitu kikubwa ile tent/kibanda tuu ya watu kukaa na biashara ilinicost 3.2m ila useng.e wa biashara hii ndo ulifanya ife
1.vijana wa kaz naona walitumana kuja kufilisi,maana nilikua na vijana wakiume wa4 wakike wa2
2.unakuta napewa report huyu jana kaondoka na mafuta ya kula huyu kaondoka ma mguu wa mbuzi ulibak huyu kaiba blender etc,mwisho wa siku wakaanza kuiba had viti vya kukalia
Ku.***** hii biashara ukitaka faidika nadhan uwe mpishi mwenyew
Nisiongee sana..ila nmeiona biashara ya ki.senge sana..watu badala waje kufanya kaz wanakuja kukuibia