Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 5,707
- 11,962
Location yako ni wapi?Assalamualaikum warahmatullah wabarakatu kwema ndugu zangu mi Nina changamoto Moja nafanya biashara ya chips lakini tangia nianze hakuna faida yyte ninayopata sasa nilikuwa naomba msaada wa ushaur Nini nifanye kuboresha biashara yangu Ili nipate faida
Mtaji wako kiasi gani?
Mauzo yako ni kiasi gani kwa siku na ulipendelea kuuza kiasi gani?
Una muda gani tangu kuanza kwa hiyo biashara?