Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Kwani kunani mkuuHuu uzi wako kwel braza ?
Kwani kunani mkuuHuu uzi wako kwel braza ?
Asante kwa kusomaAsante kwa kushare
Nimemkosa kuanzia juzi ila sijakata tamaa leo namuibukia tena yaani mpaka nimlambe sitokata tamaa
Yule show yake nitaifanya ya kibabe kwa sababu ameshanisumbua sana kumtafutabuku tano zako zitamtokea popote pale palipo wazinna ni lazima show iwe ya kitemi hadi aombe mma
Pamoja mkuuWe jamaa ukiachilia mbali masikhara na utani wako humu jf ukiamua kutoa point unaelezea vizuri big up
Afu tangu jana nko Dom aiseeeeeeee, baaadaye tuna plan ya kwenda rainbow, Kama vipi ibuka nikupe chombo kimoja Cha human rights watcher uitafune mzee baba..Bado namfukuzia nina siku ya tatu leo namtafuta siwezi kukata tamaa mpaka mimlambe tu
Mida yangu kuanzia saa nne usiku mkuu mpaka nifunge kiwanda changuAfu tangu jana nko Dom aiseeeeeeee, baaadaye tuna plan ya kwenda rainbow, Kama vipi ibuka nikupe chombo kimoja Cha human rights watcher uitafune mzee baba..
Kila biashara ukiichukulia poa lazima ikuangushe mkuu,Dogo zero,..ushawai fanya hii biashara...mim hapo katkat baada ya kuona thread nyiing za kuisifia hii biashara,nikasema ngoja niifanye sasa kwa ukubwa,.maanina kilichotokea nikwamba biashara imekufa na mi vifaa imebid niiweke kupatana nmeuza yote
Na nilinunua vifaa vya garama.freezers..majiko makubwa ya gas yale,makabat,meza za kisasa,nilijenga hadi counter.. inshort nilifungua kitu kikubwa ile tent/kibanda tuu ya watu kukaa na biashara ilinicost 3.2m ila useng.e wa biashara hii ndo ulifanya ife
1.vijana wa kaz naona walitumana kuja kufilisi,maana nilikua na vijana wakiume wa4 wakike wa2
2.unakuta napewa report huyu jana kaondoka na mafuta ya kula huyu kaondoka ma mguu wa mbuzi ulibak huyu kaiba blender etc,mwisho wa siku wakaanza kuiba had viti vya kukalia
Ku.***** hii biashara ukitaka faidika nadhan uwe mpishi mwenyew
Nisiongee sana..ila nmeiona biashara ya ki.senge sana..watu badala waje kufanya kaz wanakuja kukuibia
Mkuu kama hutojali unawea nisaidie gharama za Hii Deep fryer yako na capacity yake pls.Mkuu bihashara nimeanza tayarii, kiukweli jf ni sehem nzur sana yakupata elimu na ujasiri wa kufanya jambo,
Bihashara yangu inaweek 2 tu mpaka sasa,
Plan yangu nikuitathimini kwa mda wa week 3 then nitaweza kusema ikoje,
Ushauri wangi kwako ni anza kufanya usisubiri kukatishwa tamaa, changamoto utajifunzia mbeleView attachment 750706
Mrejesho huu au?Chipsi biashara itakayokupa mamilioni ndani ya miez michache
Ndivyo tunavyodanganywa na "Inspirational talkERS"Mrejesho huu au?
So hukupata faida?Ndivyo tunavyodanganywa na "Inspirational talkERS"
Mkuu kama hutojali unawea nisaidie gharama za Hii Deep fryer yako na capacity yake pls.