<br />Kwanza mimi nilipo sikia kuwa anauzwa elfu 50, nikajua ndo maana huyo mama anaongea kwa ujasiri. Bila shaka wateja wakubwa ni vigogo na wenye navyo. Na mama alisema, anawasiliana na wateja wake na kuwapeleka vibinti vyake. Huu ni mtandao mkubwa. Ndo maana majenga hayaishi.
<br />Hivi ni akina nani wanaowanunua? Tuache kumlaumu huyu mama, mimi lawama zangu zinaenda kwa wanunuz wa ngono.
<br />Mm huku mtaani kwetu kuna dalali wa wafanyakazi wa ndani(housegirls)<br />
nayo hıı imekaaje wakubwa,maana anakuletea kama umeridhıka naye unatoa pesa,na hata kama haujaridhika naye unatoa ya usafiri,<br />
wakubwa nayo hii imekaaje?
<br />Hule mama anadai eti bibi yake ndiye aliyekuwa mwanzilishi wa danguro hilo!!! Je hiyo kitu tangu enzi hizo dola ilikuwa wapi!!? Real nimesikitika sana.
<br />BBC wamefanya kazi yao - Tunawashukuru! Kama walivyofanya wakati wa mauaji ya walemavu wa ngozi!<br />
<br />
Tunasubiri Mh Pinda aje Bungeni "kulia" kama vile hawajui ni nini kinachoendelea! st**id!
<br />Hii inauma sana,<br />
Ebu wana JF yatajeni yalipo hayo madanguro!
Kama kwa wiki hii mmeafatilia makala za bbc swahili,kuna makala maalum juu ya biashara ya binadam tanzania hasa wanawake,hususan vibinti,mwandish wa makala hiyo ameanza kuonesha tangu wasichana wanapoletwa dar kutokea mikoani,lakin makala ya Asubui hii ya leo tar 14.9. Inaonesha jinsi wanawake wasio na huruma wanavyojisifu kwa kujiusisha na biashara hiii pasipo kuguswa na dola,mwanamke ambae amehojiwa amesema huwauza mabinti hadi sh.elfu 50 na humpa yule mwanamke elfu 20,lakini hata anapojieleza unapata picha kuwa biashara hii kwa sasa hakuna ambae inamshtua,kwa sababu kama mhusika ameamua kukubal kuhojiwa na mwandish na anakiri kuwa ataishije hapa mjini ina maana watu kama yeye wapo wengi sana,,,,,watanzania vijana wa kitanzania tupo kwenye changamoto sana,vijana weengi wa kiume wapo kwenye changamoto ya madawa ya kulevya,kukosa elimu na wizi lakin vijana wa kike wao wapo kwenye hatari zaid ya kuambukizwa maradh,matumiz ya madawa na kupata mimba za mapeeema,endelea kufuatilia makala hiyo JION YA LEO
<br />Kutokana na ugumu wa maisha watu wanatafuta kila njia ili wajikwamue.<br />
Kuna madalali wa kabisa wa wasichana wa kufanya kazi majumbani sijui wanalipa kodi?