CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
namungo nafasi ya 60 biashara akiingia makundi anaungana naye kupata points 2.5 kuna majitu yana point 1 tangu 2017 , shame shame shame
Sanaaa, unafahamu timu iliyocheza leo Ina karibu mwaka mzima haijawahi cheza mechiExcuse za kipumbavu hizo
Huyu no. 76 ndo alimgalagaza simba mwaka flaninamungo nafasi ya 60 biashara akiingia makundi anaungana naye kupata points 2.5 kuna majitu yana point 1 tangu 2017 , shame shame shame
View attachment 1975809View attachment 1975810
Kajifunze kuandika kwa mpangilio kwanzaNafasi waliyopoteza Yanga Biashara ilitakiwa ndo wacheze Rivers United ,tumeletewa aibu kubwa na Yanga kwenye haya michuano
Hii team ikibaki pamoja kwa zaidi ya miaka 2 itaogopewa.Biashara wanatandaza soccer la level nyingine kabisa. Hii ni zaidi ya team.
Ni mpumbavu tu anaekatishwa tamaa kwa kuelezwa makisa. Sifa hulemaza, kumweleza makisa hutoa nafasi ya kurekebishwa.Wachambuzi wa Bongo kutwa kuchambua makosa tu na kuzivunja moyo team zetu. Tunaposema league yetu ni bora kati ya nchi 12 bora Africa hii ndo tafsiri yake. Leo hii team ya kiwango cha wastani kama hii Biashara inaonesha soka safi kabisa katika mechi kubwa ya kimataifa, lazima Watanzania tujivunie league yetu.
Bora nimekukuta hukuLabda tu kwa faida yenu niwaeleze
Yanga hatuna shida na huko CAF champions league wala Confederation ila lengo letu sisi ni kuifunga timu ya Makolo tu
Subirini dawa ipo jikoni leo nyie MambumbumbuNafasi waliyopoteza Yanga Biashara ilitakiwa ndo wacheze Rivers United ,tumeletewa aibu kubwa na Yanga kwenye haya michuano
Siku zote Yanga si timu ya kuitegemea kimataifa......hawawezi mashidano ya kimataifa.Nafasi waliyopoteza Yanga Biashara ilitakiwa ndo wacheze Rivers United ,tumeletewa aibu kubwa na Yanga kwenye haya michuano
Wanaweza mapinduzi tu.Siku zote Yanga si timu ya kuitegemea kimataifa......hawawezi mashidano ya kimataifa.
Kweli kabisa, yaani sijapata kuona timu useless kama Yanga....hata mashabiki wao bado wanaamini tu kuwa timu yao ni ya kimataifa wakati hawajawahi fanya lolote la maana kimataifa kila siku kuchapwa tu kama mbwa koko. Wanashindwa hata na Biashara?Wanaweza mapinduzi tu.
Tukubaliane tuwape uwakilishi wa kudumu huko.
Haya kiko wapi sasa. 😁 🤣Kweli kabisa, yaani sijapata kuona timu useless kama Yanga....hata mashabiki wao bado wanaamini tu kuwa timu yao ni ya kimataifa wakati hawajawahi fanya lolote la maana kimataifa kila siku kuchapwa tu kama mbwa koko. Wanashindwa hata na Biashara?
Heheheh. Haya makhirikhiri wa 🇧🇼washafanya yao. Kiko wapi sasa 🤣😂Nafasi waliyopoteza Yanga Biashara ilitakiwa ndo wacheze Rivers United ,tumeletewa aibu kubwa na Yanga kwenye haya michuano
😅😂🤣Kipo kwenye shirikisho
Issue inabaki palepale, Yanga si timu ya maana kimataifa.Haya kiko wapi sasa. 😁 🤣
We umesahau Algeria ulifanywejeAibu ni Ile timu ambayo ikicheza ugenini inafungwa goli 5,5,4 iyo niaibu kwa mpira wa bongo.