Bro soka la tz ni kubwa....Hadi Sasa tukubaliane kuwa mlisare na biashara sio kwasabab ya mil 10 Bali kwa uwezo wao....Hawa Biashara ni full suprise package! Wako timamu haswa..sio kinyonge.
Sanaa ila hajafikia maana kubwa zaidi ya aliye ita makoloJamaaa alivyoiita kina utopolo alikuwa na maana kubwa sana
Acha upuuziNafasi waliyopoteza Yanga Biashara ilitakiwa ndo wacheze Rivers United ,tumeletewa aibu kubwa na Yanga kwenye haya michuano
Ifatilie Al Ahly Tripol then urudi kuandika upya, hiyo ni miongoni mwa team kubwa Afrika huwezi kuilinganisha na Yanga hata robo. Unajua mzunguko wa kwanza wamepita kwa agg: ya magoli mangapi?Libya yenye mapigano kila uchwao, yenye ligi ilisimama kwa sababu ya covid bado mnataka tuwasifu biashara acheni unafiq
Alafu yanga kaingiaje hapa, huyu biashara ama mlibya angekutana na yanga si wanagalagazwa za kutosha
Huu wimbo wa Covid, utopolo hawajauanza leo, waliuanza 2017 hata kabla covid19 yenyewe haijaibukaLibya yenye mapigano kila uchwao, yenye ligi ilisimama kwa sababu ya covid bado mnataka tuwasifu biashara acheni unafiq
Timu kubwa afrika hahahaha mkuu umeanza vichekesho kama vile vya Voda/tigoIfatilie Al Ahly Tripol then urudi kuandika upya, hiyo ni miongoni mwa team kubwa Afrika huwezi kuilinganisha na Yanga hata robo. Unajua mzunguko wa kwanza wamepita kwa agg: ya magoli mangapi?
Ligi yao ilisimama kweli ama si kweliHuu wimbo wa Covid, utopolo hawajauanza leo, waliuanza 2017 hata kabla covid19 yenyewe haijaibuka
Sikupingi!Bro soka la tz ni kubwa....Hadi Sasa tukubaliane kuwa mlisare na biashara sio kwasabab ya mil 10 Bali kwa uwezo wao....
Na MILIONI 10 pia ilichangia,kwani walivyopigwa uchochoroni ubora ulikuwa wapi? Au simba mbovu sana mwaka huu.Bro soka la tz ni kubwa....Hadi Sasa tukubaliane kuwa mlisare na biashara sio kwasabab ya mil 10 Bali kwa uwezo wao....
Hizi bangi sijui huwa mnavutia wapi?Timu kubwa afrika hahahaha mkuu umeanza vichekesho kama vile vya Voda/tigo
Ikiwa katika ligi yake tu ni ya 2 ikiwa na michezo 22, imewini 14,umepoteza 1 na draw 7
Huu ukubwa afrika unaipata wapi ikiwa ligi yao kwa ubora ni ya 13 na sisi 14
Huyu kwa yanga ni kibonde kama alivyo biashara na simba
2017 walicheza robo fainali club bingwa AfricaTimu kubwa afrika hahahaha mkuu umeanza vichekesho kama vile vya Voda/tigo
Ikiwa katika ligi yake tu ni ya 2 ikiwa na michezo 22, imewini 14,umepoteza 1 na draw 7
Huu ukubwa afrika unaipata wapi ikiwa ligi yao kwa ubora ni ya 13 na sisi 14
Huyu kwa yanga ni kibonde kama alivyo biashara na simba