Utopolo hawezi kujificha hata kidogo!! Wapigieni makofi wanaume wa soka Tz kuanzia leo hadi J2!!Kwa majibu haya lazima utakuwa shabiki wa makolo fc
Ndio maana maana tunawaambia yànga wasione haya kuzishangilia hizi timu zinazopeperusha bendera yetu Tz kiukweli!!kwa pira walilochza leo biashara, naamini watafika sehemu ya kutuwezesha kuongeza point za kuendelea kuweka team nne.
Mmezidi visingizio maana Simba waliposhinda mlisingizia coronaLibya yenye mapigano kila uchwao, yenye ligi ilisimama kwa sababu ya covid bado mnataka tuwasifu biashara acheni unafiq
Alafu yanga kaingiaje hapa, huyu biashara ama mlibya angekutana na yanga si wanagalagazwa za kutosha
Mmezidi visingizio maana Simba waliposhinda mlisingizia coronaLibya yenye mapigano kila uchwao, yenye ligi ilisimama kwa sababu ya covid bado mnataka tuwasifu biashara acheni unafiq
Alafu yanga kaingiaje hapa, huyu biashara ama mlibya angekutana na yanga si wanagalagazwa za kutosha
UmeYanga hamna kitu. Wao ni Uchawitu. Alafu mbaya zaidi wanautumia kwenye mechi za simba.
Midomo mirefu kwenye mashindano ya kimataifa sifuri.
Hongera Biashara hongera Azam Fc Yanga ni buretu.
MwanaUtopolo hawezi kujificha hata kidogo!! Wapigieni makofi wanaume wa soka Tz kuanzia leo hadi J2!!
Kwamba haikuwa korona, unasahau wachezaji 3-8 wa kikosi cha kwanza walikuwa hawacheziMmezidi visingizio maana Simba waliposhinda mlisingizia corona
Mmezidi visingizio maana Simba waliposhinda mlisingizia coronaLibya yenye mapigano kila uchwao, yenye ligi ilisimama kwa sababu ya covid bado mnataka tuwasifu biashara acheni unafiq
Alafu yanga kaingiaje hapa, huyu biashara ama mlibya angekutana na yanga si wanagalagazwa za kutosha
Excuse za kipumbavu hizoLibya yenye mapigano kila uchwao, yenye ligi ilisimama kwa sababu ya covid bado mnataka tuwasifu biashara acheni unafiq
Alafu yanga kaingiaje hapa, huyu biashara ama mlibya angekutana na yanga si wanagalagazwa za kutosha
Tumetoka kukukalisha uwe na adabuTimu kubwa ila wanafanya mazoezi mdomoni
Simba hakuna timu, kitakachofuatia ni kufukuza kocha.Na MILIONI 10 pia ilichangia,kwani walivyopigwa uchochoroni ubora ulikuwa wapi? Au simba mbovu sana mwaka huu.
Acha wenge, tushachukuwa ngao ya jamii tunachosubiria ubingwa. Kwa sasa Simba au Azam hawana timu ya kumfunga Yanga.Yanga anampira wa zamani yaani mpira wa matukio. I swear safari hii Yanga atamfunga Simba, Azam na BUM kutaka tu kuonyesha kuwa anaweza yaani ana feel inferiority kubwa. Ila atafungwa na Mbeya city,coastal na dodoma jiji na ubingwa ataukosa. Personal conflicts inaitesa Yanga yaani hawawazii ubingwa bali wanawazia kuprove kuwa wana timu kwa kumfunga Simba,Azam na BUM kwa kucheza kwa kukamia. Ubingwa ni long term plan na sio kuvizia vizia
Taarifa ya CUF kwa TFF imedhihirisha wazi namna kuna malalamiko ya kusingizia wachezaji wa timu pinzani wana corona.Mmezidi visingizio maana Simba waliposhinda mlisingizia corona
Huu unapoteza humu ungejifunza hata Kiingereza kidogo, unajua maana ya " sham",kigezo cha kwanza cha kuwa shabiki wa Simba ni ujinga uliopitiliza.Na akawazidi utopolo kwenye viwango vya CAF ,sham on you mwaka huu na Biashara anapita tena
Sisi kwetu simba akiwa kibonde wetu wala hatuna shida, hayo mengine ni kudra ila cha msingi makolo bwenzi ni kibonde wetuNa akawazidi utopolo kwenye viwango vya CAF ,sham on you mwaka huu na Biashara anapita tena