Biashara wanavyocheza Yanga mnapata hisia gani?

Hizi bangi sijui huwa mnavutia wapi?

Wenzio bado wako kwenye mashindano unawadharau wakati wewe utopolo sasa hivi uko jikoni unajipikilisha.
Kuwa kwenye mshindano haiondoi ukweli kwamba ni timu mbovu, simba yupo pia kwenye mashindano kwa straika jamii ya mugalu atafika wapi? Ataishia kusindikiza tu
 
Libya yenye mapigano kila uchwao, yenye ligi ilisimama kwa sababu ya covid bado mnataka tuwasifu biashara acheni unafiq

Alafu yanga kaingiaje hapa, huyu biashara ama mlibya angekutana na yanga si wanagalagazwa za kutosha
ta rivers kwa mpira ulewangepigwa na BUM believe me or NOT
 
Sahihi, kwani biashara kafuzu ama ndo yale akienda Libya anapigwa 5 kama simba
Hata kama atapigwa 10 Libya ila ameonyesha uzalendo mkubwa kwa taifa lake. Wale wachuuzi wameshindwa kuinua bendela ya taifa. Simba ni Legion ya Tanzania
 
Hata kama atapigwa 10 Libya ila ameonyesha uzalendo mkubwa kwa taifa lake. Wale wachuuzi wameshindwa kuinua bendela ya taifa. Simba ni Legion ya Tanzania
Kwa majibu haya lazima utakuwa shabiki wa makolo fc
 
Sawa kwa mawazo yako uko sahihi siwezi kukuzuia kuota.

Kwani huyu biashara akikutana na yanga huwa matokeo yanakuwaje
Yanga anampira wa zamani yaani mpira wa matukio. I swear safari hii Yanga atamfunga Simba, Azam na BUM kutaka tu kuonyesha kuwa anaweza yaani ana feel inferiority kubwa. Ila atafungwa na Mbeya city,coastal na dodoma jiji na ubingwa ataukosa. Personal conflicts inaitesa Yanga yaani hawawazii ubingwa bali wanawazia kuprove kuwa wana timu kwa kumfunga Simba,Azam na BUM kwa kucheza kwa kukamia. Ubingwa ni long term plan na sio kuvizia vizia
 
Yanga anampira wa zamani yaani mpira wa matukio. I swear safari hii Yanga atamfunga Simba, Azam na BUM kutaka tu kuonyesha kuwa anaweza yaani ana feel inferiority kubwa. Ila atafungwa na Mbeya city,coastal na dodoma jiji na ubingwa ataukosa. Personal conflicts inaitesa Yanga yaani hawawazii ubingwa bali wanawazia kuprove kuwa wana timu kwa kumfunga Simba,Azam na BUM kwa kucheza kwa kukamia. Ubingwa ni long term plan na sio kuvizia vizia
Safari hii acha kuchanganya mambo hata safari zilizopita (tena nyingi tu) tumempiga izo timu mbovu

Mpira wa zamani anaongoza kuchukua kombe, kwamba mpira wa kisasa ndo huu kupigwa goli 5-4 ugenini
 
Kuwa na adamu na timu inayokubeba kila safari. Nkukumbushe tu 2018 mlishiliki kwa msaada wa Simba, 2021 mmeshiriki pia kwa msaada wa Simba. Kuwa na shukurani hata kidogo nyie Mbeleko Fc. Unakuwa kama mwanamke wa kiyao kumponda mme wake na wakati ndie anaemweka Dar.
 
Kuwa na adamu na timu inayokubeba kila safari. Nkukumbushe tu 2018 mlishiliki kwa msaada wa Simba, 2021 mmeshiriki pia kwa msaada wa Simba. Kuwa na shukurani hata kidogo nyie Mbeleko Fc. Unakuwa kama mwanamke wa kiyao kumponda mme wake na wakati ndie anaemweka Dar.
Msaada wa simba

Huyu simba mbona haijawahi zisaidia lipuli, mbeya city, mwadui, namungo yeye miaka yote anamsaidi bingwa wa kihistoria tu

Yeye ndo alimkusanyia pointi hadi akawa mshindi wa 2, huko caf yanga hakuwa na pointi zake

Huu wimbo wa alimsaidia huwa unachekesha sana (wimbo wa watoto) kama Ana uwezo huo mwakani anisaidie mbeya city ama ruvu ama prison tuone
 
Nafasi waliyopoteza Yanga Biashara ilitakiwa ndo wacheze Rivers United ,tumeletewa aibu kubwa na Yanga kwenye haya michuano
Aibu ni Ile timu ambayo ikicheza ugenini inafungwa goli 5,5,4 iyo niaibu kwa mpira wa bongo.
 
Yanga hamna kitu. Wao ni Uchawitu. Alafu mbaya zaidi wanautumia kwenye mechi za simba.

Midomo mirefu kwenye mashindano ya kimataifa sifuri.

Hongera Biashara hongera Azam Fc Yanga ni buretu.
 
Labda tu kwa faida yenu niwaeleze
Yanga hatuna shida na huko CAF champions league wala Confederation ila lengo letu sisi ni kuifunga timu ya Makolo tu
 
Yanga hamna kitu. Wao ni Uchawitu. Alafu mbaya zaidi wanautumia kwenye mechi za simba.

Midomo mirefu kwenye mashindano ya kimataifa sifuri.

Hongera Biashara hongera Azam Fc Yanga ni buretu.
 
Hata Namungo mwaka jana hii stage ya chupli chupli Confederation alivuka na akafika group stage na hakuacha kuona kila aina ya rangi
 
Back
Top Bottom