Malengo yangu 2014 yalikuwa ni kusimamisha biashara kadhaa ndogo ndogo. Biashara ambazo Inaweza kunipa faida ya Tsh 20000 hadi 50000 kwa siku.
Bahati mbaya hadi mwaka unaisha sijaweza kufanikiwa. Kwa kifupi mwaka huu umekula kwangu. Nimepoteza si chini ya 30m katika uwekezaji usio na tija. Kakatika kipindi chote nilichojaribu kusimamisha biashara ndogo ndogo nimejifunza yafuatayo;
1. Ni vigumu kupata watumishi waaminifu.Amini usiamini TZ kila mtu ni fisadi. Watu ni wezi kuliko unavyoweza kuamini. Kama haupo kusimamia mwenyewe shughuli za kila siku basi biashara ndogo ndogo huwezi kufanya.
2. Kodi ya pango ya frame ni unrealistic. Kodi ya frame nyingi ni kubwa kuliko unavyoweza kuzalisha. Mwisho wa siki unamfanyia biashara mwenye frame.
3. Uwezo wa kununua wa wa TZ walio wengi uko chini sana. Wengi wanapenda vitu vya bei rahisi bila kujali ubora. Ndo maana soko la vitu vya kichina vina shamiri. Wako wachache wanaojali ubora lakini ni wachache sana.
4. Ulozi umetawala katika biashara ndogondogo, kama siyi mwenzao utapigwa vita kila kona.
Naomba kuwasilisha.
Bahati mbaya hadi mwaka unaisha sijaweza kufanikiwa. Kwa kifupi mwaka huu umekula kwangu. Nimepoteza si chini ya 30m katika uwekezaji usio na tija. Kakatika kipindi chote nilichojaribu kusimamisha biashara ndogo ndogo nimejifunza yafuatayo;
1. Ni vigumu kupata watumishi waaminifu.Amini usiamini TZ kila mtu ni fisadi. Watu ni wezi kuliko unavyoweza kuamini. Kama haupo kusimamia mwenyewe shughuli za kila siku basi biashara ndogo ndogo huwezi kufanya.
2. Kodi ya pango ya frame ni unrealistic. Kodi ya frame nyingi ni kubwa kuliko unavyoweza kuzalisha. Mwisho wa siki unamfanyia biashara mwenye frame.
3. Uwezo wa kununua wa wa TZ walio wengi uko chini sana. Wengi wanapenda vitu vya bei rahisi bila kujali ubora. Ndo maana soko la vitu vya kichina vina shamiri. Wako wachache wanaojali ubora lakini ni wachache sana.
4. Ulozi umetawala katika biashara ndogondogo, kama siyi mwenzao utapigwa vita kila kona.
Naomba kuwasilisha.