Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Kama ana access ya kupata 40millions kama capital ya biashara anashindwa nini kuachana na hiyo kumtumikia bwana akaingia mtaani akapambana kivyake?
Hapa ndipo naposhindwa kuwaelewa watu wanaosema wamesoma,imani yangu na uzoefu wangu kwa mtaji huo kwa mwezi anaweza kujitengenezea faida nzuri tu kama akitulia kwenye biashara.
Hahahqhaha eti unatafta partner kwa 40m..nakupa 7mths utakuwa huna hata 200!partiner?!yaan 40m isimamie mwwnyew kbs..usione watu wanahamia maporini mkuu...binafsi mm hata ndg simwamini kqenye biashara...!
kweli tumepishana
100M kwenye ajira unaipataje mkuu tuanzie hapo.Mr, kaa ujue kuwa entrepreneurship ni matokeo ya msukumo wa nafsi (hobby). Sio kila mtu ana hiyo hobby......
So sisi tuwaache tu kama walivyo, maana hata tukisema sana haitosaidia kitu. Maana hata mimi pia, nina watu ambao wanauwezo mzuri sana kifedha....
Inshort wanaweza kuweka hata mil 100, kwenye entrepreneurship project....but still wanaeng' eng' tuh!!!!
Atalia akitaka partner ila kama wakusimamia safi.Ni kweli kabisa, 40m si kitu. If anataka kufanikiwa through accumulation ya biashara, ni vema akazama yeye mwenyewe field.
Apart from that ATALIA sio muda mrefu.....
100M kwenye ajira unaipataje mkuu tuanzie hapo.
Hii imetulia gharama ni kwenye vifaa tu Kama camera na other equipments ila ahakikishe yupo down town na matangazo ya kutosha na awa na vijana ambao ni wabunifu ataipenda hii biashara nilishafanya huko nyuma Kama 5 years back.. IPO vizuri km unamtaji mzuri.Kwa ushauri wangu ningependekeza namba tatu kufungua studio ya kupiga picha na mambo yanayohusiana na hayo. Kwa Sasa biashara za mambo ya graphics designing, wedding photography, photoprinting ndo vinasoko Sana na biashara ya studio ya picha ni marachache Sana kula hasara ila changamoto ni gharama za vifaa watu wazoefu wapo hivyo napendekeza no. 3
In short anapaswa yeye mwenyewe pia, kuwa karibu na mradi wake. Regardless ana msimamizi au partner.....Atalia akitaka partner ila kama wakusimamia safi.
Unaachaje kazi bila biashara kusimama...kuwa na mtaji kitu kingine, kusimama biashara kitu kingine.40million bado ana mawazo ya Ku endelea ajiriwa???
Kama hawezi ingia field mwenyewe; basi mkuu usimpotoshe! kilio chake kitakuwa cha mbwa koko na atachakaa.
Hizo hela zake mwambie akaziweke fixed deposit mpaka siku atakapoamua Ku ingia rasmi mwenyewe kwenye ujasiriamali.
Inategemea aina ya biashara sasa...ndio maana kama mimi nikapendekeza Carwash haitaji ujuzi nini kusimamia, ila mfano ayo mambo ya Video photograph kama sio mjuzi uwelewi.In short anapaswa yeye mwenyewe pia, kuwa karibu na mradi wake. Regardless ana msimamizi au partner.....
iyo biashara itasimamaje pasipo muhusika mkuu kuhusika kwa asilimia zote, kitu chako ulichokianzisha kwa jasho lako siku zote commitment yake ni ya hali ya juu. Mwanzo wa shughuli ama biashara yoyote lazima uhusike kwa asilimia zote wewe kama mmiliki; otherwise yatakuwa ni majuto tuUnaachaje kazi bila biashara kusimama...kuwa na mtaji kitu kingine, kusimama biashara kitu kingine.
Achukue baadhi ya hizi ....
1.Aje Dodoma afungue kiwanda cha kufyatua na kuuza tofali,hii biashara inalipa sana watu wanajenga balaa kwa Dodoma,hapa anaweza kuweka na ki min shop cha hard ware.location zipo nyingi sana za kufanya hii biashara.
2.Aje Dodoma afungue kiwanda kdg cha kusaga na kupaki unga wa mahindi,asee hapa pesa ataikimbia mahitaji ni makubwa sana,waliopo wanaofanya hii biashara hawakidhi mahitaji ya wateja kwamba mda mwingi unga haupo mitaani.location zipo za kutosha nawez kwemwelekeza bure kabisa..
Kama anaogopa News Kuna indicator simple inaitwa Ichimoku, akiimaster hautakosa 2% ya mtaji wake kwa siku ya biashara.Wacha wewe!!
Unataka kijana wa watu ajinyonge?!
Labda kama Ana trade akiwa pembeni ya Donald Trump
hyo namba 2 imenitouch...nimekuDM broAchukue baadhi ya hizi ....
1.Aje Dodoma afungue kiwanda cha kufyatua na kuuza tofali,hii biashara inalipa sana watu wanajenga balaa kwa Dodoma,hapa anaweza kuweka na ki min shop cha hard ware.location zipo nyingi sana za kufanya hii biashara.
2.Aje Dodoma afungue kiwanda kdg cha kusaga na kupaki unga wa mahindi,asee hapa pesa ataikimbia mahitaji ni makubwa sana,waliopo wanaofanya hii biashara hawakidhi mahitaji ya wateja kwamba mda mwingi unga haupo mitaani.location zipo za kutosha nawez kwemwelekeza bure kabisa...
Yap GoodIngia china kachukue urembo,ingia china kachukue under ware,ingia china kachukua sm za gharama isiopungua400000 kwa bei ya kuuza hapa bongo faida yake nikuanzia 150000 chukua samsung,iphone basi
Hizi soko lake vipi la jumla au reja reja?Aende china akachukue, urembo, vyupi, achanganye na spare parts za pikipiki