Biashara inataka watu wenye roho ngumu, fikiria nimewekeza 300M+ napata 5M kama faida Kwa mwezi

Umenena vyema jomba, ni kweli ngumu kushauri uwiano wa faida husika kwenye biashara usiyoijua. Ila hapo mwisho nigeuze karatasi kidogo.

Hiyo amount inaweza ikawa kubwa kwako ku-take risk lakini ikawa ndogo kwake that's why kathubutu.

Naamini maisha hayafanani, kuna wengine wanawaza mitaji ya billions kadhaa kuna wengine wanawaza walau 200k tu, Yani kichupa kimoko cha Hennessey wakifanyie mtaji kuendesha familia zao.

Tujaribu kujikita zaidi kwenye ROI ratio kutokana na biashara husika bila kuumulika sana ukubwa wa mtaji.

Kidogo nijuacho, hizi term zina implication tofauti kabisa kulingana na aina ya biashara.
☆Revenue
☆Gross profit
☆Net profit

Mfano biashara hasa retails business, zina higher revenue ila net profit kiduchu. Unaweza fanya mauzo ya Mil 100 faida gross profit ikadinda kwenye 10 tu. Ukilimwa kodi hapo unajikuta unabaki na net profit kama 7 tu.

At the same time aina nyingine ya biashara yenye revenue lel say 50Mil ikawa na gross profit ya hata 15 Mil with net profit of around 12 to 11 million.

Hapa mchawi nahisi ni aina ya biashara ndio inaweza kutoa mtizamo sahihi wa kile kinachoingia kama kinawiana na uwekezaji uliofanywa.

Hizo Mil 300 huenda zimejenga mathalan appartment kuna watu wanapangishwa na hizo M5 ni kodi wanazolipa. Kwa mfano kama huo tunaanzaje kusema kua ni ndogo ama kubwa?

Kitu kingine si kila biashara mtu yoyote anaweza kuifanya. Biashara ina involve uncertainty, ranging from low to high risk. Uwezo wa kuhandle stress za biashara ndio zinazoamua ufanye biashara ipi na utaingiza kiasi gani.

As a principle of thumb, the higher the risk the higher the reward. Na kinyume chake ni kweli. Unaweza muelekeza mtu biashara, ikawa ni faida kubwa ila ina risk kubwa zaidi. Kumbe mhusika akipoteza jero tu halali week 3 mfululizo anaiwaza 😂

Later akila loss huyu si ana panic na kuharibu kila kitu? Kiukweli biashara ina mengi. Kuiendea kichwa kichwa inampiga mtu K.O asubuhi mapeeema mno unless awe na misukule yake kando kama wafanya biashara wengi tuliowazoea mtaani.

Binafsi mleta mada akiifafanua zaidi ntachangia zaidi.
Upo vizuri mkuu nimesoma kila kituo...wewe inaoneka ni mshauri wa biashara.
Mi nina tatizo natamani nilianzishie uzi japo watu watasema ni chai.naomba nishauri hapa hapa
Mkuu mimi biashara yangu nimeanza 2020 mwezi dec ndo mzigo wangu wa kwaza kuingia.
Ki ukweli sijawahi kopa nimekisanya mtaji kidogo kidogo.
Mpaka sasa hivi biashara mtaji wako sio mkubwa ila mzunguko ni mkubwa sana.
Yaani kwa wiki 1M kawaida inategemea na mzigo ulioko dukani.maana miziho inakuja na kuomdoka tatizo langu ni hivi
1.kwa kuwa bado nahitaji kukuza mtaji basi nimekua mtu wa mawazo na usingizi kukata yaani silali.mwanzo hapo kati hata jf nilikua siingii ila sasa hivi naingia kupoteza mawazo..
Yaani nawaza sana kuliko kipindi sina ela.yaani mawazo yangu nikiinza lki nataka laki mbil..yaani siridhiki..sion faida saa ingine
Swali langu hivi kuna siku utafanya biashara ufikie hatua relax kweli au ni mateso tu
2.hivi wafanya biashara wakubwa pesa zao wanaweka bank kwwli?
 
Thank you!

Am saving your username ... Kule Geita (Nimeishi huko) na Nyamongo (family member by adoption) ana elution plant hapo... The former (Geita) jamaa anachoma dhahabu and all sorts za gold dealing uyo singeweza kumtumia sana kwenye research yangu cause watu wananitaniaga nimuoe binti yake na yeye anakua kama ananipa heshima hiyo so nipo nam-save as possibly the last option to take... equally the later (Nyamongo) sipo confident sana na jamaa ... Nina watu wengi sana naoweza kuwatumia just in case nikihitaji seriously kuingia huko... Sema ndo ivyo you need to be so cautious and sharp cause wote at all times wana mkwaju in a close proximity and would not hesitate to use it at the slightest reason.

Mtu anayebeba weapon lethal one at that is prepared to take a life labda this is the reason as to why they are not very much normal na hawafunguki sana kama wewe hapa. I know the trick kuwaandaa kijanja kutap these knowledges should it necessarily come to that but until then... Let them be themselves!

Kumbe chunya huko ni shallow-soft mines unapata? so after all Geita na nyamongo is overrated sio???

Now nipo Dar earning bread there. But sitokaa nipapendage Dar. Mi napapenda sana Mwanza and the good thing is Mwanza is a great place to be a hub you can settle and depend to ukiwa in that field...

Apa nipo naandaa namna ya wisely to relocate na kujisubject myself kwenye huo upambanaji and other diversifications that could prove to be feasible and sound... Good thing is gems like you arent hard for me to find and for that iam so grateful... i appreciate you, Mkuu.

Please accept cordially my enlist soon, Papi! By that time you ofcourse going to be a BIG SHOT, PEZZONOVANTE and a great MENTOR

Unless you are planning to leave this field.
Thanks for the compliments bro, I appreciate and am happy that atleast nimekusaidia kupata mwanga wa ulicho hitaji in the first place.

Geita na Nyamongo somehow panahitaji 'muscles' kidogo kuliko Chunya esp. kwa mtu anayeanza na mwny mtaji mdogo. Lkn pia hizi sehem 2 km ulivosema hawa watu (wakurya & wasukuma) ni selfish sn na wametapakaa maeneo almost yote ya uchimbaji.

Huwa wanabebana kwa sababu zao na sometimes wanabaguana kwa sabab zao. Ila Chunya ni changanyikeni, jamii za kila aina zipo kule so unapata watu wengi 'wakuja' wa kufanya nao mishe ambao hawaangilii ethnicity mradi tu wanaona kuna fursa ya kufanikisha jambo lao.

Ushauri wangu; ukiwa tayar zama field, jifunze physically hata kama una hela behave in a way watu wasielewe, gap kubwa kati ya mchimbaji anayefanikiwa na asiyefanikiwa huwa ni right info na field experience, fedha huja kufanya execution tu kwa hyo km huna right info na experience nzur ya nn cha kufanya hela yako ama 'utapigwa' na matapeli au utaichannel in a wrong way.

Otherwise, km zilivyo field zingine, mining business inahitaji analysis ya kina, financial discipline, commitment na passion kwa kile unacho kifanya. Ni ngumu mwanzoni kwa kuwa haina matokeo ya haraka ama yanayoonekana ila in the longrun huwa inafanya vema sn so inahitaji patience sn huku ukimaintain focus ya unachotaka kuachieve.

All the best bro, .

Sent from my Nokia 1.3 using JamiiForums mobile app
 
Kuna muda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara.

Nimewekeza Tsh. Million mia tatu(300m+), nimeanza biashara napata return ya 5m yaani million tano kwa mwezi.

Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.

Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje!
Million 5 faida Kwa mwezi inatosha kabisa chamsingi. Chamsingi uendelee kujifunza kwenye hio biashara polepole itakuja kukyrengenezea hata million 7 Kwa mwezi inatosha hiyo
 
Upo vizuri mkuu nimesoma kila kituo...wewe inaoneka ni mshauri wa biashara.
Mi nina tatizo natamani nilianzishie uzi japo watu watasema ni chai.naomba nishauri hapa hapa
Mkuu mimi biashara yangu nimeanza 2020 mwezi dec ndo mzigo wangu wa kwaza kuingia.
Ki ukweli sijawahi kopa nimekisanya mtaji kidogo kidogo.
Mpaka sasa hivi biashara mtaji wako sio mkubwa ila mzunguko ni mkubwa sana.
Yaani kwa wiki 1M kawaida inategemea na mzigo ulioko dukani.maana miziho inakuja na kuomdoka tatizo langu ni hivi
1.kwa kuwa bado nahitaji kukuza mtaji basi nimekua mtu wa mawazo na usingizi kukata yaani silali.mwanzo hapo kati hata jf nilikua siingii ila sasa hivi naingia kupoteza mawazo..
Yaani nawaza sana kuliko kipindi sina ela.yaani mawazo yangu nikiinza lki nataka laki mbil..yaani siridhiki..sion faida saa ingine
Swali langu hivi kuna siku utafanya biashara ufikie hatua relax kweli au ni mateso tu
2.hivi wafanya biashara wakubwa pesa zao wanaweka bank kwwli?
Utateseka mpaka uwe na biashara/mtaji/mzunguko kubwa kiasi cha kujilipa mamilioni kwa mwezi. Hata sasa hivi na biashara ndogo hakikisha unajilipa mshahara sio unachukua tu hela unapojisikia.
 
Huyo jamaa atakuwa anakula ndefu sana mkuu, hebu imagine mtu ana 20B halafu wakupe 12% tu ni hela tamu kiasi gani?

12%×20,000,000,000 aisee dunia ni tamu ukiwa na hela ndefu. Imagine 2.4B kila mwaka wastani wa hela ya kila mwezi ni 200M! Hivi kila mwezi niwe naingiziwa million 200 nina haja gani ya kupasuka kichwa na TRA sijui uja file returns mara sijui ujinga gani.

Na ndio maana BOT wameshusha rates maana ni noma yani, matajiri wengi wamehamishia mitaji huko.
Wameshusha kutokana na janga la vita sio matajiri kuamishia mzigo huko maana vita ilipoanza tu nao wakapunguza interest zao, mbali na hivyo BOT &UTT wenyewe wanatamani elimu hii iwafikie wanachi wengi sema hata ikiwafikia bado ni kikwazo kwamaana bonds utazifurahia, ukiwa na mzigo mrefu hata ukiwa na mzigo mrefu pia kimbembe kipo kwenye kupata coupons hasa za BOT sio kitu rahisi kihivyo, mnada ukitangazwa watu wengi wanabid hii imepelekea washiriki wengi wanakosa, let's say serikali inataka kupata bl 20 tu lakini utakuta washiriki wanajitokeza kuikopesha serikali wanafikisha mtaji wa bl 100 wachache wanapata tena hao wachache utakuta wamebid kiasi kikubwa yaani wamenunua coupons kwa bei ya juu, all in all hata ukikosa mnada mwingine ukitangazwa unashiriki mpk unapata, ni muda mrefu bonds za BOT plus za UTT zimekuwa ni bonge moja la mchongo kwa waliosanukia mapema na ambao wanaoendelea kusanuka kwa maana sio kila mtu anamisuli ya kufanya biashara, faida yake ukiwekeza huko unapata faida bila misukosuko huku ukilinda mtaji wako, na kizuri zaidi serikali zote zinakopeshwa na wanachi wake sio Tanzania tu bali worldwide kutokana na ufinyu wa bajeti hivyo bonds zitaendelea kuwepo tu.
 
Kwa hio hela nafikiri kama ungeiweka kwenye bonds ungeondokana na hizo headaches kabisa. Fanya 12%×300,000,000, hio ni uTT ila BoT wanatoaga hadi 15% at times.
Mkuu mara nyingi nimeona watu wakizungumzia hii bond za serikali,je hii imekaaje hiyo interest inalipwa kila mwaka au Kwa muda wote wa uwekezaji wako na je huwa ni Kwa muda gani?
Kwa sababu Kwa hesabu hapo ni 45m je ni kama Kwa mwaka ni sawa na 3.75 m Kwa mwezi which is good money Kabisa Tena bila hustles zozote
 
Kuna muda unaweza kuwa kichaa kwenye haya mambo ya biashara.

Nimewekeza Tsh. Million mia tatu(300m+), nimeanza biashara napata return ya 5m yaani million tano kwa mwezi.

Hapo sijatoa mishahara ya wafanyakazi na gharama za kuendeshea ofisi.

Wafanyabiashara mna roho ngumu sana, presha nje nje!
Niajiri mimi nikufanyie marketing ila mapenzi sipendagi napenda kazi .
Kama upo serious njoo pm nipo serious .
Hali sio mbaya kwako ila naweza kukusaidia ukapanda kidogo mshaara wangu ni 9 laki tisa
 
Huyo jamaa atakuwa anakula ndefu sana mkuu, hebu imagine mtu ana 20B halafu wakupe 12% tu ni hela tamu kiasi gani?

12%×20,000,000,000 aisee dunia ni tamu ukiwa na hela ndefu. Imagine 2.4B kila mwaka wastani wa hela ya kila mwezi ni 200M! Hivi kila mwezi niwe naingiziwa million 200 nina haja gani ya kupasuka kichwa na TRA sijui uja file returns mara sijui ujinga gani.

Na ndio maana BOT wameshusha rates maana ni noma yani, matajiri wengi wamehamishia mitaji huko.
Na nimesikia rates za bot zitashuka hadi single digit, watu wanaacha kuzungusha pesa wanapeleka huko ili wafurahie maisha.
 
Mwekezaji utasemaje umewekeza mil 300 alafu faida mil 5 kwa mwezi alafu hapohapo unasema hujalipa wafanyakazi na gharama za kuendesha ofisi....FAIDA NI NINI?? Nadhani tatizo limeanzia hapo.
Hajakosea, kiswahili kinachanganya kwa english kuna profit na net profit, wewe unayoongelea ni net profit, ye kaongelea profit, si kitu cha kubishana ni kuelewa tu kamaanisha nn
 
Thanks for the compliments bro, I appreciate and am happy that atleast nimekusaidia kupata mwanga wa ulicho hitaji in the first place.

Geita na Nyamongo somehow panahitaji 'muscles' kidogo kuliko Chunya esp. kwa mtu anayeanza na mwny mtaji mdogo. Lkn pia hizi sehem 2 km ulivosema hawa watu (wakurya & wasukuma) ni selfish sn na wametapakaa maeneo almost yote ya uchimbaji.

Huwa wanabebana kwa sababu zao na sometimes wanabaguana kwa sabab zao. Ila Chunya ni changanyikeni, jamii za kila aina zipo kule so unapata watu wengi 'wakuja' wa kufanya nao mishe ambao hawaangilii ethnicity mradi tu wanaona kuna fursa ya kufanikisha jambo lao.

Ushauri wangu; ukiwa tayar zama field, jifunze physically hata kama una hela behave in a way watu wasielewe, gap kubwa kati ya mchimbaji anayefanikiwa na asiyefanikiwa huwa ni right info na field experience, fedha huja kufanya execution tu kwa hyo km huna right info na experience nzur ya nn cha kufanya hela yako ama 'utapigwa' na matapeli au utaichannel in a wrong way.

Otherwise, km zilivyo field zingine, mining business inahitaji analysis ya kina, financial discipline, commitment na passion kwa kile unacho kifanya. Ni ngumu mwanzoni kwa kuwa haina matokeo ya haraka ama yanayoonekana ila in the longrun huwa inafanya vema sn so inahitaji patience sn huku ukimaintain focus ya unachotaka kuachieve.

All the best bro, .

Sent from my Nokia 1.3 using JamiiForums mobile app

Iam inboxing you.
 
Kuna mtu aliuza ukumbi mbezi beach pamoja na plot ya barabarani akajumua na duka kariakoo akafunga biashara, alitengeneza kama 2.5B hivi yote akaipeleka BOT, ana watoto 7 hela anayogawana nao, yeye na kila mtoto anapata 4M kwa mwezi bila kutoka jasho kwa namna yeyote 😂😂😂! Anachofanyana sahizi ni jogging, gym na kula vizuri tu akicheza na wajukuu😂!

Mie nikipata 1B tu ujue im never going broke again! Yote ni BOT na sitaki shida tena na mtu nakula gawio langu tu
Ukifikisha hio 1b hutakuwa na mawazo hayo vinginevyo the likes of Mo,SSB and co wangekuwa wanalala na kusafiri Tu. Utaweka kiasi huko kwenye bonds halafu utaendelea na mambo yaliyokupa hio 1b.
 
Ukifikisha hio 1b hutakuwa na mawazo hayo vinginevyo the likes of Mo,SSB and co wangekuwa wanalala na kusafiri Tu. Utaweka kiasi huko kwenye bonds halafu utaendelea na mambo yaliyokupa hio 1b.
Kweli mzee
 
Back
Top Bottom