Tzania
Member
- Jul 23, 2019
- 31
- 12
Habari za saa hii wakuu.
Leo nina jipya kwa wale wajasirimali wenzangu na wazalendo wa hii platform mwanajamii mwenzenu ndugu yenu nahitaji msaada wenu wa kibiashara.
Nauza mafuta ya mawese na mafuta ya kokwa za mawese ambayo yana grade ya juu natafuta soko kwa wale wanaofahamu masoko ya hii bidhaa msaada wenu wakuu kwa kiwango chochote kile wanakaribishwa check me +255 678 180 202
Leo nina jipya kwa wale wajasirimali wenzangu na wazalendo wa hii platform mwanajamii mwenzenu ndugu yenu nahitaji msaada wenu wa kibiashara.
Nauza mafuta ya mawese na mafuta ya kokwa za mawese ambayo yana grade ya juu natafuta soko kwa wale wanaofahamu masoko ya hii bidhaa msaada wenu wakuu kwa kiwango chochote kile wanakaribishwa check me +255 678 180 202