Biashara fulani inalipa sana pale ukisimuliwa

Biashara fulani inalipa sana pale ukisimuliwa

captain zaka

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2025
Posts
258
Reaction score
256
Wadau Kila mtu ashawai kusimuliwa biashara fulan na faida inayopatikana ila alipojaribu alikutana na moto wa hatari , Ugumu , kukata ela , kupoteza ramani kabisa. Naomba tuelezee hapa chini biashara gani uliwahi kuifanya ikakutokea pabaya 😅😅 ???
 
Wadau Kila mtu ashawai kusimuliwa biashara fulan na faida inayopatikana ila alipojaribu alikutana na moto wa hatari , Ugumu , kukata ela , kupoteza ramani kabisa. Naomba tuelezee hapa chini biashara gani uliwahi kuifanya ikakutokea pabaya 😅😅 ???
Mimi nilifanya real estate , niliambiwa fremu zinalipa na guest, kumbe nilikuwa hasara, nahisi location ilikuwa mbaya. Fremu 10, mteja mmoja na bei anapanga yeye, guest wateja ni shortime wabkukulana , Tena unaweza pata 4 mwezi mzima. Hapa mikopo inanihemea
 
Mimi nilifanya real estate , niliambiwa fremu zinalipa na guest, kumbe nilikuwa hasara, nahisi location ilikuwa mbaya. Fremu 10, mteja mmoja na bei anapanga yeye, guest wateja ni shortime wabkukulana , Tena unaweza pata 4 mwezi mzima. Hapa mikopo inanihemea
Location ndio kipengele usirudie.
 
Biashara ya Urembo, mkewangu alinishawishi sana biashara ya vitu vya urembo akasema vinalipa sana, na akitolea mfano wa wenzake wanaofanya hiyo biashara wanaonekana wana mafanikio basi nikashindwa kumpinga, nikaweka mtaji kama mil3.5 hivi ila karibu mwaka sasa sioni muelekeo wa hiyo biashara na site iko pazuri
 
Mimi nilifanya real estate , niliambiwa fremu zinalipa na guest, kumbe nilikuwa hasara, nahisi location ilikuwa mbaya. Fremu 10, mteja mmoja na bei anapanga yeye, guest wateja ni shortime wabkukulana , Tena unaweza pata 4 mwezi mzima. Hapa mikopo inanihemea
Duhh pole sana , Location changamto sana kweny real estate
 
Biashara ya Urembo, mkewangu alinishawishi sana biashara ya vitu vya urembo akasema vinalipa sana, na akitolea mfano wa wenzake wanaofanya hiyo biashara wanaonekana wana mafanikio basi nikashindwa kumpinga, nikaweka mtaji kama mil3.5 hivi ila karibu mwaka sasa sioni muelekeo wa hiyo biashara na site iko pazuri
ase pole sana kiongoz , Una hakika strategy wanazotumia ni sawa na zako??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom