Wanajamvi,
Bia zimepanda na bei jana nimeuziwa castle lager 2500 nilikua na ten tu ivyo niliishia bia 4 stim hakuna apo fegi sijavuta na mpira haujaisha costa rica wamekomaa balaa asa kutokana na huu ukata naludi nyumbani kuanzia leo ni mwendo wa konyagi tu mibia bei mbaya stim hakuna hela zenyewe za ku ungaunga bia sio dili wala nini wito kwa tanzania konyagi kazeni buti wateja tunaongezeka.