Dogo umeboronga. Hiyo ni kama Kashfa! Hapa wala hukua na nia ya utani nia yako ni kutueleza jnsi unavyomfananisha bi kidude.
Kumbe wewe ni Hovyoooooooooooooo!
utani upo lkn ulipofika mbali,wazungu wengine wanaopenda ubaguzi wa rangi wakisoma wataona waafrica wote ni crocodiles.jaribu kumuomba radhi na waafrica wote.
hata biblia inasema"OGOPA KICHWA CHENYE MVI, NA UHESHIMU USO WA MTU MZEE" wewe ni nani unapata ujasiri wa kumuita mtanzania mwenzako krokodail? km vp apigwe ban kwa muda
hata biblia inasema"OGOPA KICHWA CHENYE MVI, NA UHESHIMU USO WA MTU MZEE" wewe ni nani unapata ujasiri wa kumuita mtanzania mwenzako krokodail? km vp apigwe ban kwa muda