Beyond Ufipa, Lumumba Political Discourses

Beyond Ufipa, Lumumba Political Discourses

Huyu jamaa Azizi Mussa hajielewi, na hata haelewi anasimamia Nini.
Yeye posts zake ni za mapambio na kumsifu mwenyekiti wao. Nashauri apuuzwe!
Ipo siku utatoka kwenye hilo wingu linalokufanya usione mbele

Kuna wakati unaweza kuona mgomba au mti ukadhani ni mtu kasimama kabeba panga lakini kumbe ni ukungu tu kwenye akili yako na siku ukiondoka unaweza kuona ulimwengu kwenye mwanga sahihi.
 
"Progress is impossible without change, and those who cannot change their minds cannot change anything. ==============George Bernard Shaw

Ifike mahali tuone cheap politics haziwezi kutupeleka mbele na tuamue kubadilika ku - fucus kwenye mambo yamsingi ambayo yanaweza kutusaidia kupiga hatua mbele
 
Soma kwanza ndio uchangie, inawezekana ulichofanya ni sehemu ya tatizo linalozungumziwa kwenye mada ya msingi

Azizi mbona kama sikuelewi, bandiko lako limelalia kwamba wanaoshabikia cdm na ccm ndio tatizo la nchi hii. Hebu tuambie maendeleo yaliyoletwa na hao wasiokuwa mashabiki wa hivyo vyama kiasi kwamba wanaoshabikia hivyo vyama wawaige hao.
 
Azizi mbona kama sikuelewi, bandiko lako limelalia kwamba wanaoshabikia cdm na ccm ndio tatizo la nchi hii. Hebu tuambie maendeleo yaliyoletwa na hao wasiokuwa mashabiki wa hivyo vyama kiasi kwamba wanaoshabikia hivyo vyama wawaige hao.
Rudia tena kusoma! Ama itakuwa hujasoma, ama umesoma lakini hukuelewa. Rudia Mara mbili, kama hutaelewa bado ndio nifafanue zaidi.
 
Toa solution sasa tutafikaje tunakotaka kwenda icje ikawa ndo wale wale unatutaka tubadilike halafu we ubadiliki

Huyu jamaa fuatilia mabandiko yake mengi huwa hana suluhu ya mambo anayoongea. Ukimwambia atoe solution anasema wewe fanya lolote tu!! Ni kama mtu aliyeishi kwenye dini na kuwa mwenye imani kali ya dini hiyo, sasa anakuwa kama anaona maruweruwe hivi kwa kuongea mambo yenye hisia fulani zisizo na suluhu.
 
Rudia tena kusoma! Ama itakuwa hujasoma, ama umesoma lakini hukuelewa. Rudia Mara mbili, kama hutaelewa bado ndio nifafanue zaidi.

Mkuu haya maandiko yako huwa nayafafanisha na zile hadithi za kusomea majini yaingie kwenye chupa. Inabidi uwe na mtazamo fulani wa kiimani kukuelewa. Simply huna solution ya lolote zaidi ya kuleta post zenye hisia kali. Kama sikosoi unasoma sana vitabu vya meditation. Hizo hisia zako hazifanyi kazi kwenye ulimwengu huu wetu.
 
Huyu jamaa fuatilia mabandiko yake mengi huwa hana suluhu ya mambo anayoongea. Ukimwambia atoe solution anasema wewe fanya lolote tu!! Ni kama mtu aliyeishi kwenye dini na kuwa mwenye imani kali ya dini hiyo, sasa anakuwa kama anaona maruweruwe hivi kwa kuongea mambo yenye hisia fulani zisizo na suluhu.
Mfano wapi sina suluhu? Mbona mada hii inaelekeza chakufanya wazi wazi kabisa? Ni nini ambacho ninyi kinawapa tabu hapa? Au mnachopinga ni nini? Au wazo lenu mbadala ni lipi? Mnataka solution ya nini hasa ambayo sijaitoa?
 
Mkuu haya maandiko yako huwa nayafafanisha na zile hadithi za kusomea majini yaingie kwenye chupa. Inabidi uwe na mtazamo fulani wa kiimani kukuelewa. Simply huna solution ya lolote zaidi ya kuleta post zenye hisia kali. Kama sikosoi unasoma sana vitabu vya meditation. Hizo hisia zako hazifanyi kazi kwenye ulimwengu huu wetu.
Mkuu kwa muhutasi ninachosema; tuache tabia ya wafuasi wa vyama kujibizana kama taarabu na tuwe wabunifu kuona ni namna gani kila chama kinaweza kutatua Matatizo sugu kama ajira kwa vijana. Kuhusu ni nini cha kufanya kwa hilo LA ajira kwa vijana nishasema Mara nyingi tu na hakuna aliekuja na wazo mbadala!

Sasa majini yanatokea wapi hapo? Otherwise basi useme hii hii staili ya nani anamzodoa nani na nani amemjibu ndio solution pekee itakayotusaidia kumaliza Matatizo tuliyo Nayo.

Otherwise unabisha tu ili mradi ubishe ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya hutaki kuelewa.

Kwa mfano hapa ambacho huelewi nini?Mchango wa Vijana wasomi ndani ya vyama vya siasa
Au unaona majini kwenye chupa?
 
Mfano wapi sina suluhu? Mbona mada hii inaelekeza chakufanya wazi wazi kabisa? Ni nini ambacho ninyi kinawapa tabu hapa? Au mnachopinga ni nini? Au wazo lenu mbadala ni lipi? Mnataka solution ya nini hasa ambayo sijaitoa?

Azizi achana na hivyo vitabu unavyosoma vya elimu ya nje ya ubinadamu wa kawaida. Tupe suluhisho la maisha ya kawaida ambayo mtu akitumia anafanikiwa. Kwenye dunia hii kuna mtu anacheza mchezo wa kubet anaendesha maisha yake, na wala sio hizo njozi zako ambazo huzijawahi kusaidia taasisi yoyote. Ulikuwa ccm ukaondoka na kuwaacha bado wanategemea nguvu ya mwenyekiti wao ambaye ni amiri jeshi mkuu kuendelea kuwa madarakani. Ukaenda cdm nako huko hizi njozi zako hazikufanya kazi. Ukaenda ACT Wazalendo nako huko hizi njozi zako hazikusaidia lolote mpaka umeamua kuondoka.

Basi tutajie taasisi yoyote ambayo umepeleka hizi njozi zako zikaleta mafanikio. Sana sana unaishi na ndoto za ajabu ambazo unadhani ukizipeleka mahali na watu wakazifuata watafanikiwa. Ila wewe binafsi hazijakufanya uwe na mafanikio. Hizi hadithi zako ni kama za mtu mwenye urahibu wa mambo fulani. Nenda kapate ushauri nasaha.
 
Azizi achana na hivyo vitabu unavyosoma vya elimu ya nje ya ubinadamu wa kawaida. Tupe suluhisho la maisha ya kawaida ambayo mtu akitumia anafanikiwa.

Basi tutajie taasisi yoyote ambayo umepeleka hizi njozi zako zikaleta mafanikio. Sana sana unaishi na ndoto za ajabu ambazo unadhani ukizipeleka mahali na watu wakazifuata watafanikiwa.
Kwa kweli ni ngumu sana kufanikiwa kama ambavyo maendeleo ya Afrika yamekuwa magumu. Ni vigumu kama Ambavyo chadema mmeshauriwa Mara nyingi mjenge angalau ofisi ya makao makuu bila mafanikio
Hivi CHADEMA ka kitu kadogo kama haka kanawashindaje?
Halafu mnalalamika wanaowaambieni wako kwenye njozi na wanasoma vitabu vya meditations! Haya bwana.
 
Mkuu Aziz, Kwa mtazamo wako unadhani hii nchi inaweza kubadilika bila kubadili mfumo wetu wa siasa?
Mfumo wa siasa kwenye eneo gani hasa maana dhana hiyo ni pana. Yaani mfano tuachane na democracy tuende kwenye monarchy ? Au aristocracy ? Au?
 
Nenda kapate ushauri nasaha.
Year upo sahihi, nafikiri pia kama nitapima itapendeza.

Wewe Mara nyingi umekuwa na proposal za wakulima kupatiwa mikopo na kutafutiwa masoko, ushafanikiwa ? Au tuongozane tukapime?

Bado hatujajua tunataka nini.
 
Tanzania ni Taifa linalosikitisha sana...leo hii watanzania wengi wanategemea habari za nchi yao kutoka kwa Mange anaeishi Marekani.!....
 
Year upo sahihi, nafikiri pia kama nitapima itapendeza.

Wewe Mara nyingi umekuwa na proposal za wakulima kupatiwa mikopo na kutafutiwa masoko, ushafanikiwa ? Au tuongozane tukapime?

Bado hatujajua tunataka nini.

Mimi kama mimi kilimo kinaniwezesha kuishi maisha ya wastani na kupeleka watoto wangu shule, hapa nilipo nina akiba ya kutosha bank kutokana na kilimo. Ila ninataka wakulima wengi wakwamuliwe, tatizo naona ni wao kuwezeshwa kwa kupewa mikopo na mambo ya masoko, kwani kilimo hakipewi kipaombele na watunga sera. Mimi sipo kwenye kilimo cha kusubiri mvua kwani nilishapata mtaji toka kwenye ajira niliyoamua kuiacha. Lakini ningependa nifanye kilimo kikubwa cha kuuza kimataifa hapo ndio ninapokwama pindi ninapotaka mtaji mkubwa wa kuendana na wazo langu. Sasa wewe ndugu yangu nikukuambia bila pesa huwezi kufanya lolote la maana, wewe unasema sio kila kitu kinahitaji hela!! Ili taifa liweze kusonga mbele inahitajika mipango mizuri na itafanikishwa kwa hela, hao unaowaona wakibishana hapa hawatokaa waondoke hata kama maendeleo yapatikane kwani ni sawa na kusema maendeleo yakipatikana basi Simba na Yanga zitaondoka.

Halafu kwenye mada yako, hawa wanaobishana hapa ambao ni cdm na ccm wengi wao wako mijini na wanaulewa wa mambo. Wana nafuu ya kimaisha kwa mantiki ya kuweza kulipa kodi ya nyumba na kumudu gharama fulani za mahitaji ya lazima. Hao ambao hawabishani na wengi wao wako kijijini hali zao ndio choka mbaya. Kwa hiyo siyo kweli kwamba maendeleo ya nchi hii yanakwamisha kwa haya malumbano ya cdm na ccm. Kama una wazo lenye tija la kuweza kuifanya nchi iendelee lilete lifanyiwe kazi na wala haliwezi kuondoa ushabiki uliopo.
 
Tanzania ni Taifa linalosikitisha sana...leo hii watanzania wengi wanategemea habari za nchi yao kutoka kwa Mange anaeishi Marekani.!....
tindo anasema Hamna cha kufanya na tukipendekeza cha kufanya anasema tunaingiza majini kwenye chupa. Halafu hivi kwa nini tunawaza sana uchawi?
 
Azizi achana na hivyo vitabu unavyosoma vya elimu ya nje ya ubinadamu wa kawaida. .

Kwa hiyo Mkuu tukiacha kusoma vitabu ndio tutaweza kupata maendeleo kwa haraka zaidi? Au inawezekana kutokana na kusoma vitabu ambavyo si vya kibinadamu labda na mimi si mtu tena. Labda nshakuwa jini. Mambo haya yanaanzaga kama masihara ujue?

Siasa zisitufanye tupoteze utu wetu kwani ndio msingi hasa wa maisha yenyewe

Kwa mfano hii mada itakuwa inahusu wanadamu kweli? Maana anaweza kuona ya kawaida kumbe sio ya ulimwengu huu.
 
Mimi kama mimi kilimo kinaniwezesha kuishi maisha ya wastani na kupeleka watoto wangu shule, hapa nilipo nina akiba ya kutosha bank kutokana na kilimo. Ila ninataka wakulima wengi wakwamuliwe, tatizo naona ni wao kuwezeshwa kwa kupewa mikopo na mambo ya masoko, kwani kilimo hakipewi kipaombele na watunga sera. Mimi sipo kwenye kilimo cha kusubiri mvua kwani nilishapata mtaji toka kwenye ajira niliyoamua kuiacha. Lakini ningependa nifanye kilimo kikubwa cha kuuza kimataifa hapo ndio ninapokwama pindi ninapotaka mtaji mkubwa wa kuendana na wazo langu. Sasa wewe ndugu yangu nikukuambia bila pesa huwezi kufanya lolote la maana, wewe unasema sio kila kitu kinahitaji hela!! Ili taifa liweze kusonga mbele inahitajika mipango mizuri na itafanikishwa kwa hela, hao unaowaona wakibishana hapa hawatokaa waondoke hata kama maendeleo yapatikane kwani ni sawa na kusema maendeleo yakipatikana basi Simba na Yanga zitaondoka.

Halafu kwenye mada yako, hawa wanaobishana hapa ambao ni cdm na ccm wengi wao wako mijini na wanaulewa wa mambo. Wana nafuu ya kimaisha kwa mantiki ya kuweza kulipa kodi ya nyumba na kumudu gharama fulani za mahitaji ya lazima. Hao ambao hawabishani na wengi wao wako kijijini hali zao ndio choka mbaya. Kwa hiyo siyo kweli kwamba maendeleo ya nchi hii yanakwamisha kwa haya malumbano ya cdm na ccm. Kama una wazo lenye tija la kuweza kuifanya nchi iendelee lilete lifanyiwe kazi na wala haliwezi kuondoa ushabiki uliopo.
nani kakudanganya pesa zinaleta maendeleo?.....mipango madhubuti, uthubutu, elimu, kujituma ndio chachu ya maendeleo......hata kabla ya pesa hazijagunduliwa watu walikuwa na maendeleo
 
Back
Top Bottom