Hivi mnaongea nini nyie, ukiwa na hela ukakosa maendeleo basi wewe utakuwa umezitapanya tna utakuwa ni bonge la kenge. Hiyo mipango madhubuti, uthubutu, nk vinafanyika kwa kuwezeshwa na pesa. Hata wenye mawazo mazuri sana, hukopa pesa ili kufanikisha mawazo yao, au hufadhiliwa pesa ili waweze kufanikisha na kutekeleza mawazo yao. Mimi hapa nilipo nipe pesa, wewe baki na mipango yako madhubuti, uthubutu na elimu, kisha tupe mwaka mmoja njoo uone mimi na mwenye hizo sifa ulizotaja nani atakuwa na maendeleo. Pigeni hadithi zenu za kuongopeana hapa na Azizi, kama huna pesa your nothing in this world my friend. Ukiwa na pesa utapata kila kitu dunia hii labda ushindwe tu kununua furaha na kuzuia kifo, lakini sio maendeleo.