HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 547
good teacher fungua darasa nitaleta watoto wangu uwafundishe waache kuniuiza maswali magumu ,
nimekumiss ujue? naomba uniletee mtori, uje peke yako usije na nanihiluu!
imagine...... hapo watasubiri hadi kiama. teh teh teh
View attachment 61525
Its human nature....
human nature hairuhusu KAKA kamchungulia DADA lakini.
Nashukuru sana Erotica kwa roho yako nzuri ya kutaka kuwapunguzia tension hata wale tuliopitwa na wakati!!
Ila naomba nikujulishe tu kuwa hata kwa kutumia caterpillar kwako siwezi kuja....Najipenda mie!!
Babu DC!!
View attachment 61525
Its human nature....
View attachment 61549
hapo maza aliwatafuta weee mwishowe akastukia inshu kufunua tu haoooo madogo wanajaribu mchezo wa baba na mama
Erotica baby, nimecheka mno.................. maongezi tunayoyafanyaga chumbani kumbe hayafai........... tunadhani watoto wapo busy na Ben10 kumbe masikio yapo rumteh teh teh. Fixed Point, come this way mamito. mwaaaaah!