Beware: Tapeli Tapeli

wanawake wengi walio na akili za darasan wakiingia makazini tu wanakuwa wajinga wajinga sana...

wanaliwa sana hela zao na wajanja wa mjini kwa kujifanya wanawataka au kuwatangazia ndoa..

wadada wapo radhi kufanya chochote mradi ndoa isife
 
POLE SANA ..NENDA POLISI...LAKINI NI KAMA UGOMVI WA KI UCHUMBA VILEEE..
 
Nahisi ukweli upo wazi.
Kama JF inakuwa sasa mtu na mwenzie wameshindwana huko anakuja na hadithi za ajabu kama hizi hovyooo

Yaania Madada woote walio comment kwenye post hii,hakuna hata mmoja anaekubaliananae
Na kila mmoja ameonyesha kwamba kuliuwa na mahusiano mpaka yaliyofikia kuvikwa Pete ya Chukuchuku

Hapa itakuwa umepigwa chini,jamaa amechukua dem mwingine ndio hasira zako unaleta huku na huku pia tunakuzingua vile vile kwamba post yako inaboa.
Preta mdada mwenzio amekuchana live tena kwa kukustahi kimtindo ila unapanic.
Waliotapeliwa wao kimyaaa,ila wewe inakuuma zaidi maana umetapeliwa kimapenzi.Na mbaya zaidi umekurupuka kuandika,Pete ya uchumba in one week,aiseee we unaona wooote humu watoto

Mshahara wa dhambi ni mauti,kuwa mpoleeeee,Jamaa angekuwa tapeli angekuwa ameishakamatwa,maana hakimbii mtu na inaonekana anapatikana kiurahisiii
Malizaneni huko msitumaliziii wino.

Wewe na Apologize Lady muuza maziwa woote wale wale
 
Halafu JF imeingia kwenye mtikisiko wa madada humu kuibuka na issue hizi za kutapeliwa,na zoote za mapenzi

Juzi mwenzie kampokesha mteja wake wa Maziwa,akiambiwa amtaje ID yake anasepa,wewe leo umeliwa na kuvishwa pete,then yameharibia umekimbilia huku.

Nahofu kabisaaa humu Madada Poa nao wamo,tusiangalie matapeli tuu,ila Kuna Waleeee masister poaa
 
hata mimi ninashangaa. taifa limepoteza kichwa cha maana maana hata baba yake ni mtu wa kutegemewa (sijui kama bado yuko hai). Top 3 ya darasa kwa olevel alikuwa hakosi. high school ndio alipata marks mbaya (div 3 mbaya hadi kuamua kwenda russia).
We mpare uwe unatoa hela kirahisi bhana,usizishikilie peke yako
 
Alikuvisha pete...?

Hmm....ninapatwa na kishawishi cha kuuliza swali ambalo unaweza kuhisi ni swali gani.

Ila kama alifanikiwa kwenye hilo basi lengo lake lilitimia!
Ahahaaaaaa, ni kuhusu kumtia eeh, HAPO LAZIMA ALIMTIA, TENA WALITIANA HASWAA!!!
 
Hajakupiga nao?
 
Mlikuwa mnadate naye!,mmetofautiana unamwanika hapa!..hebu twambie kwanza lini ulimgundua taper?.Ni baada au kabla ya Kula tunda?..
 
Huyo jamaa Bwabwaa alikuvikaje Pete,Russia wamepiga sana 0713 ndio kisa cha kuharibikiwa kila kitu.
 
I find no necessiry ya watu kuhoji kuhusu @Nakodori kutoa tunda au la,kikubwa ni kuangalia tu hiyo tahadhar kama unaona unapenda kuichukua au laaah,vingine doesnt add value katika maisha yetu.kwan mbona hatusemi nasi tumekula au mumegawa tunda kwa wangapi.watz.kwa kupenda empty jelous ndo vinara
 
Na hapo ni chumbani kwenu au .....?...
Swali zuri petra,tumahukuru kwa taarifa,ila ukweli ni kwamba ata kama amekula mzigo hauwez kiri hilo!!ao jifariji umenusurika kutapeliwa hela then ukasahau kuwa umeliwa dry
 
We ni empty set. Umejaa karafuu na mdalasini kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…