Betting imekuwa tanuru la moto wa makaa ya mawe maishani mwangu

Betting imekuwa tanuru la moto wa makaa ya mawe maishani mwangu

Siku zote Ukiona kitu au jambo linatahadharisha kuwa hairuhusiwi kwa watu wenye umri chini ya miaka 🔞.

Maana yake hilo jambo halifai hata ungekuwa na miaka 45..

Wanataka maamuzi uyafanye ukiwa na akili timamu na iliyokomaa ili msije mkalaumiana baadae. Do it for ur own risk.
 
We yeroo ya town unaweka laki 2 unachagua game 7 ili upate milioni 40? Weka game zako 2 au tatu zenye uhakika ili usipigwe kizembe! Mfano jana Man utd japo ni chama langu niliwapa magoli chini ya mawili na imetoboa fresh tu! Usiweke kwa tamaa
 
Betting imekuwa tanuru la moto wa makaa ya mawe maishani mwangu

Ndani ya siku tatu nimepoteza laki nane na themanini (yaani 880,000). I feel like I am the most fool all over the world

Yes Indeed,Your A Fool
Si Bora Ungenunua Nguruwe Ukafuge Kijijini Kwenu?
Betting Ni Kama Mchezo Just For Fun,ukiweka Ni Kama Chanzo Cha Mapato(kitega Uchumi) Lazima Upotee.
Bet Angalau Elfu 5000 Kwa Siku Mwisho,na Si Kila Siku.
Hesabia Ni Kama Umetoa Sadaka Tu
Return Ni Majaaliwa Tu,
Team 3 Zenye Odds 3.5 Hadi 5 Basi
Hapo Utakuwa Huna Stress,weka Mkeka Mapema Na sahau Kama Umebet.
Note.Uwe Na Kipato Cha Uhakika Na Usiwe Na Hela Za Mawazo.
 
Betting imekuwa tanuru la moto wa makaa ya mawe maishani mwangu

Ndani ya siku tatu nimepoteza laki nane na themanini (yaani 880,000). I feel like I am the most fool all over the world
Mnabeti kiushabiki siyo kiakili ...kama una beti pesa nyingi betia live game tena ikiwa imesha fika dakika ya 20 ukiwa una usomq mchezo ndiyo tia mpunga hata sh elfu 50000
 
Siku zote Ukiona kitu au jambo linatahadharisha kuwa hairuhusiwi kwa watu wenye umri chini ya miaka 🔞.

Maana yake hilo jambo halifai hata ungekuwa na miaka 45..

Wanataka maamuzi uyafanye ukiwa na akili timamu na iliyokomaa ili msije mkalaumiana baadae. Do it for ur own risk.
Ukiona limekatazwa kwa wenye chini ya miaka 🔞 maana yake ilo jambo linatakiwa AKILI KUBWA tatizo linakuja kwa Watu wanaokua umri tu siyo AKILI (kubwa jinga)... 🔞 maana yake TUMIA AKILI SANA
 
Betting imekuwa tanuru la moto wa makaa ya mawe maishani mwangu

Ndani ya siku tatu nimepoteza laki nane na themanini (yaani 880,000). I feel like I am the most fool all over the world
Sasa sii bora wewe unapoteza hela umisaka hela....sie tunaozika hela kwenye mbususu za warembo tusemeje? Yaani imagine unabembeleza mtu kuja kula hela yako🤣🤣🤣🤣🤣
Ama kweli dunia haikukosea waziznzinhatuna akili kabisa
 
Siku zote Ukiona kitu au jambo linatahadharisha kuwa hairuhusiwi kwa watu wenye umri chini ya miaka 🔞.

Maana yake hilo jambo halifai hata ungekuwa na miaka 45..

Wanataka maamuzi uyafanye ukiwa na akili timamu na iliyokomaa ili msije mkalaumiana baadae. Do it for ur own risk.
Kwa post hii nimepata kitu .
Thanks
 
mikeka inayochanwa na timu moja moja ni maumivu city,benfica weka atlanta kenge sanaa hawa
Aise hatari ila sasa nyie nawe atalanta mechi za preseason za mwisho zote kapigwa unampaje ushindi
 
Back
Top Bottom