Prince Dos Santos
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 1,047
- 1,319
Uko sawa kabisa ifike mahali tubadilike kutokana na wakati tuliopo hatuwezi kufikia viwango vya kimataifa kwa mwendo huu wa upambe inatakiwa hata tunapopima ubora wa vyuo vyetu tuupime kupitia tafiti zinazoleta tija (positive impact) kwa jamii na taifa na ulimwengu sio tafiti zinazowekwa kwenye makabati wenzetu walifanikiwa kwa njia hii . Sisi tumekalia ushamba wa kuponda tu bila kuchukua hatua stahili tukijiuliza hata hivyo vyuo ambavyo viko kwenye rank za juu za bongo vimeleta positive impact kwa jamii ya kitanzania kutokana na tafiti zao sidhani kama kuna majibu pia vyuo ni kitovu cha ubunifu ifike mahali tuwe na inter universities creativity competition s katika fani mbalimbali kuchochea upatikanaji wa wabunifu kitu ambacho kinaweza kusaidia kuinua position yetu kwenye rank za kimataifaNdio maana sikutaka kuhangaika na kujadili chuo kipi bora Tanzania ila nimeonyesha kosa la ranking bila kujali ranking ni kwa ajili ya kitu gani. Vyuo vyetu bado sana, inahitajika karne nyingine ili vianze kuonekana vina michango ya maana katika dunia tunayoishi. Lakini kumbuka pia wakati huo vyuo vya dunia ya kwanza vitakuwa mbali mno.