Best Universities in Tanzania (2016)

Best Universities in Tanzania (2016)

Mmh. Wametumia vigezo gan mtoa mada?? Kama ni elimu itolewayo ktk vyuo..naamini OUT lazima ni no 3. Pia KIU haikupaswa kuwa Na 10. Pia nawasiwasi na position ya moshi cooperative universty kuwa ktk namba 37. Doubt!!!
ni kweli , muccobs wako vizuri
 
Mzumbe inapaswa kua ya kwanza.... Sababu ntazileta nkikamilisha research yng baada ya wiki mbili
 
Namba 37 huwajatendea haki! yaani wamepitwa hata na KIU!?
 
Hapo hakuna chuo ata kimoja cha kujisifia, ukiona chuo chako hakipo kwenye rank reputable kama Times Higher Education, (World University Rankings)

Basi ujue chuo ulichosoma ni chuo cha level ya chini sana. Vyuo vyetu hivi vinatofautiana tu viwango katika level hiyo ya chini, kwenye level ya dunia hakuna ata chuo kimoja cha Tanzania kinachoingia 3,000 bora. Ukisearch hapo kwenye hii rank chuo cha Dar es Salaam kwa mfano unapata jibu " Your search returned 0 results
Can't find the university you're seeking? Try our NEW Universe Directory"


Na ukisearch chuo kilicho nchi ya Tanzania unapata jibu "No results march "Tanzania". Walau Kenya kinapatikana University of Nairobi na Uganda Makerere University.

Hivyo vyetu hapa kuna vyuo vilivyo chini sana (Dar es Salaam, Muhimbili, UDOM na SUA) na kuna vilivyo chini zaidi ya sana (Mzumbe, Mkwawa, Ardhi ) na kuna vilivyo chini kupita maelezo (Sauti, St Joseph na wanaofanana nao).

Inapofika kwenye haya ndipo nakubaliana na Nyani Ng'abu, USA Baby!
 
Hii ranking ni sawa na kushindanisha "wagonjwa", nani mgonjwa zaidi? Weka ranking ya Africa nzima ili tujue tuko wapi badala za shindanisha "wagonjwa".

Haa ha ha, hujakosea!

Nenda Times Higher Education, (World University Rankings)

Ukisearch hapo kwenye hii rank chuo cha Dar es Salaam kwa mfano unapata jibu " Your search returned 0 results
Can't find the university you're seeking? Try our NEW Universe Directory"


Na ukisearch chuo kilicho nchi ya Tanzania unapata jibu "No results march "Tanzania".
 
Sina uhakika saana, ila nafikiri ni research papers zilizoandikwa na kufanywa , qualifications za staff in academic( core business of entity) , Ubora wa mitihani ilivyotungwa, Mitihani kutovuja, etc

Kigezo cha hiyo rank sio academic, bali ni website ya chuo.

Soma hapohttp://www.webometrics.info/en/Methodology ..The original aim of the Ranking is to promote WEB presence....At the end a reliable rank is only possible if the web presence is a trustworthy mirror of the university
 
Nyie nao muwe waelewa sio unagoogle na kukuta hizo ranks ndio ukanzani in zenyewe. Kiufupi ni kwamba webometric na 4icu sio mashirika yatoa ranks kutokana academic hizo ranks zinatolewa na hiyo mashirika kutokana na web index yaani upatikanaji kiurahisi wa taarifa za chuo kwenye hizo web zao na ndo maana huwezi kuta vyuo kutoka Korea kaskazini index yake ni ndogo. Taasisi ambazo huaminiwa kwa kufanya tafiti kuangalia vigezo tofauti tofauti vya kitaaluma ni.
1. Times Higher Education
2. Shanghai ranking
3. University Ranking by Academic Performance(URAP). Ambao hivi karibuni wametoa vyeti kwa vyuo viwili vya UDSM na SUA.
Times Higher Education walishatoa ranks za afrika hakuna chuo hata kimoja toka TZ japo nilivyofuatilia nimeona hakuna tafiti waliyoifanya toka Tanzania na sijui kwa nini.
Hivyo hizo mlizoeka sio academic rankings Bali ni ranks zilizobase kwenye web index.
URAP - University Ranking by Academic Performance

Hivi ni vyuo vikuu viwili tu vya Tanzania vijulikanavyo duniani?

Kwani mimi nimesema hiyo ni ranking ya nini? Dogo, mimi hayo mambo ya rankings nayaelewa kuliko unavyowaza, nina kiburi juu yake kiasi kwamba siwezi kusoma chuo ambacho academic ranking yake worldwide ni above100 na nimefanikiwa ndoto zangu.
 
Kwani mimi nimesema hiyo ni ranking ya nini? Dogo, mimi hayo mambo ya rankings nayaelewa kuliko unavyowaza, nina kiburi juu yake kiasi kwamba siwezi kusoma chuo ambacho academic ranking yake worldwide ni above100 na nimefanikiwa ndoto zangu.

Hicho kiburi nimekipenda, sio kushindania vyuo vilivyo chini ya 3,000 bora duniani, dunia sio kijiji kiasi tuanze eti kuridhika na kuanza kushindania nani mbovu zaidi, itoshe tu kujua kuwa vyuo vyetu bado havipo kwenye ubora duniani.
 
Hicho kiburi nimekipenda, sio kushindania vyuo vilivyo chini ya 3,000 bora duniani, dunia sio kijiji kiasi tuanze eti kuridhika na kuanza kushindania nani mbovu zaidi, itoshe tu kujua kuwa vyuo vyetu bado havipo kwenye ubora duniani.

Ndio maana sikutaka kuhangaika na kujadili chuo kipi bora Tanzania ila nimeonyesha kosa la ranking bila kujali ranking ni kwa ajili ya kitu gani. Vyuo vyetu bado sana, inahitajika karne nyingine ili vianze kuonekana vina michango ya maana katika dunia tunayoishi. Lakini kumbuka pia wakati huo vyuo vya dunia ya kwanza vitakuwa mbali mno.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom