mchumi boy
Member
- Jun 4, 2016
- 70
- 31
Nami nimesoma OUT hakika wako juu sana.Nimesoma UDSM na OUT katika elimu yangu. I'm speaking with confidence kuwa OUT iko zaidiya rank hiyo. Never undermine OUT
Nami nimesoma OUT hakika wako juu sana.Nimesoma UDSM na OUT katika elimu yangu. I'm speaking with confidence kuwa OUT iko zaidiya rank hiyo. Never undermine OUT
hakika chuo kikuu huria siyo mchezo ni kma ulivyo ubora wa yai la kuku wa kienyeji kwani husoma kwa kujitafutia na tofauti na other conventional Universities ambao mara nyingi wanafunzi hutafutiwa na kubebwabebwa(kuku wa kisasa)jane inawezekana maana open univ. unajisomea kama kuku wa kienyeji. Hujui mtihani utatoka wapi. Mitihani yao hata mwalimu mwenye somo hatungi yeye na hakuna anayeuona mpaka siku ya mtihani. Udanganyifu wa mitihani kama vyuo vingine haupo. Mimi sioni ajabu!
Inategemeana na vigezo vinavyotumika ku-score.List Ninaikubali Lakini Hapo pa KIU nabaki mdomo wazi!! Genge lile la Wababaishaji Kushika rank za juu????
Mimi nina shahada ya UDSM na OUT pia, so anaebaki kuimba wimbo wa UDSM unreasonably nabaki kushangaa, au anaebeza OUT unreasonably pia simuelewi. So kwangu mimi bila mtu kuja na vigezo vinavyoeleweka nitamwambia bado anaishi the past wakati dunia imehamaNami nimesoma OUT hakika wako juu sana.
Kwa KIU I'm not certain ,ila kwa KAIRUKI it's possible .7 HUBERT,10 KIU,23 KCMC.Ina maana KIU na KAIRUKI wapo mbele ya KCMC??
Huu ni utani kwenye masihara
Kigezo ni website. sasa sijui website ambayo ni user-friendly au la kwani sijaingia kwenye report yenyewe.Open university ya sita??????? Haaaaaa. This ranking is doubtful
Kigezo ni website ndugu na wala sio academic excellence.Mimi nina shahada ya UDSM na OUT pia, so anaebaki kuimba wimbo wa UDSM unreasonably nabaki kushangaa, au anaebeza OUT unreasonably pia simuelewi. So kwangu mimi bila mtu kuja na vigezo vinavyoeleweka nitamwambia bado anaishi the past wakati dunia imehama
kairuki ipi mkuu?Kwa KIU I'm not certain ,ila kwa KAIRUKI it's possible .
I'm there mkuu,usibishe
Bhac sawa,poa mkuu.kairuki ipi mkuu?
KCMC ipo juu kuliko KAIRUKI,ikitoka muhas inafuatia KCMC then CUHAS.
KAIRUKI ipo level za IMTU,SFCHAS,ST JOSEPH
ok, basi ndio maana KIU wapo juuKigezo ni website ndugu na wala sio academic excellency.
Jamani nauliza hivi dsm kuna chuo kikuu chochote ukiacha udsm kinachotoa degree kwa masomo ya jioni?BEST TANZANIAN UNIVERSITIES: Latest Rankings 2016.
1 University of Dar Es Salaam
2 Sokoine University of Agriculture
3 Muhimbili University of Health and Allied Sciences
4 Mzumbe University
5 Mkwawa University College of Education
6 Open University of Tanzania
7 Hubert Kairuki Memorial University
8 Saint Augustine University of Tanzania
9 University of Dodoma
10 DAR University Kampala International University of Uganda Dar es Salaam
11 Ardhi University
12 State University of Zanzibar
13 Nelson Mandela African Institute of Science & Technology
14 Weill Bugando University College of Health Sciences
15 Tumaini University Makumira University College
16 Institute of Finance Management
17 Dar Es Salaam Institute of Technology
18 University of Iringa
19 Saint John's University of Tanzania
20 College of Business Education
21 Institute of Accountancy Arusha
22 Mount Meru University
23 Kilimanjaro Christian Medical University College
24 International Medical & Technological University
25 Teofilo Kisanji University
26 Zanzibar University
27 Mbeya University of Science & Technology
28 Mwalimu Nyerere Memorial Academy
29 Arusha Technical College
30 University of Bagamoyo UoB Dar es Salaam
31 Sebastian Kolowa Memorial University
32 Muslim University of Morogoro
33 University of Arusha
34 Dar es Salaam University College of Education
35 St Joseph University in Tanzania
36 Tumaini University Stefano Moshi Memorial University College
37 Moshi Co-operative University
38 Tanzanian Training Centre for International Health
39 Archbishop Mihayo University College of Tabora
40 St Francis University College of Health and Allied Sciences
41 Jordan University College
42 Stella Maris Mtwara University College
43 Sumait University
44 Ruaha Catholic University
45 Tumaini University Dar es Salaam College
46 Tumaini University Institute of Agriculture
47 Josiah Kibira University College
48 United African University of Tanzania
49 Mwenge Catholic University
50 Tanzania International University
SOURCE
World | Ranking Web of Universities
Sub-Saharan Africa | Ranking Web of Universities
Best Universities in Tanzania 2015 - Latest Rankings
OK, ongera Sana.Kwani mimi nimesema hiyo ni ranking ya nini? Dogo, mimi hayo mambo ya rankings nayaelewa kuliko unavyowaza, nina kiburi juu yake kiasi kwamba siwezi kusoma chuo ambacho academic ranking yake worldwide ni above100 na nimefanikiwa ndoto zangu.
Hata kama huwez iweka Nelson Mandela chini while open juu hahahaaa kwa vigezo vipiWapo vizuri
Open university ya sita??????? Haaaaaa. This ranking is doubtful
Umewahi kusoma KIU?Nilivyoona kiu ya 10 nikajua huu utafiti sio kweli sasa kiu wana ubora gani labda kama wamepanga kwa kuangalia majengo ya chuo
Nimesoma Masters yangu hapo hata mie naona ilipaswa kuwa top 3. Usisikie maneno ya mitaani yapo tu. Jaribu uone.Nimesoma UDSM na OUT katika elimu yangu. I'm speaking with confidence kuwa OUT iko zaidiya rank hiyo. Never undermine OUT