Best Universities in Tanzania (2016)

Best Universities in Tanzania (2016)

jane inawezekana maana open univ. unajisomea kama kuku wa kienyeji. Hujui mtihani utatoka wapi. Mitihani yao hata mwalimu mwenye somo hatungi yeye na hakuna anayeuona mpaka siku ya mtihani. Udanganyifu wa mitihani kama vyuo vingine haupo. Mimi sioni ajabu!
hakika chuo kikuu huria siyo mchezo ni kma ulivyo ubora wa yai la kuku wa kienyeji kwani husoma kwa kujitafutia na tofauti na other conventional Universities ambao mara nyingi wanafunzi hutafutiwa na kubebwabebwa(kuku wa kisasa)
 
Nami nimesoma OUT hakika wako juu sana.
Mimi nina shahada ya UDSM na OUT pia, so anaebaki kuimba wimbo wa UDSM unreasonably nabaki kushangaa, au anaebeza OUT unreasonably pia simuelewi. So kwangu mimi bila mtu kuja na vigezo vinavyoeleweka nitamwambia bado anaishi the past wakati dunia imehama
 
Mimi nina shahada ya UDSM na OUT pia, so anaebaki kuimba wimbo wa UDSM unreasonably nabaki kushangaa, au anaebeza OUT unreasonably pia simuelewi. So kwangu mimi bila mtu kuja na vigezo vinavyoeleweka nitamwambia bado anaishi the past wakati dunia imehama
Kigezo ni website ndugu na wala sio academic excellence.
 
Kwa KIU I'm not certain ,ila kwa KAIRUKI it's possible .
I'm there mkuu,usibishe
kairuki ipi mkuu?
KCMC ipo juu kuliko KAIRUKI,ikitoka muhas inafuatia KCMC then CUHAS.
KAIRUKI ipo level za IMTU,SFCHAS,ST JOSEPH
 
BEST TANZANIAN UNIVERSITIES: Latest Rankings 2016.

1 University of Dar Es Salaam

2 Sokoine University of Agriculture

3 Muhimbili University of Health and Allied Sciences

4 Mzumbe University

5 Mkwawa University College of Education

6 Open University of Tanzania

7 Hubert Kairuki Memorial University

8 Saint Augustine University of Tanzania

9 University of Dodoma

10 DAR University Kampala International University of Uganda Dar es Salaam

11 Ardhi University

12 State University of Zanzibar

13 Nelson Mandela African Institute of Science & Technology

14 Weill Bugando University College of Health Sciences

15 Tumaini University Makumira University College

16 Institute of Finance Management

17 Dar Es Salaam Institute of Technology

18 University of Iringa

19 Saint John's University of Tanzania

20 College of Business Education

21 Institute of Accountancy Arusha

22 Mount Meru University

23 Kilimanjaro Christian Medical University College

24 International Medical & Technological University

25 Teofilo Kisanji University

26 Zanzibar University

27 Mbeya University of Science & Technology

28 Mwalimu Nyerere Memorial Academy

29 Arusha Technical College

30 University of Bagamoyo UoB Dar es Salaam

31 Sebastian Kolowa Memorial University

32 Muslim University of Morogoro

33 University of Arusha

34 Dar es Salaam University College of Education

35 St Joseph University in Tanzania

36 Tumaini University Stefano Moshi Memorial University College

37 Moshi Co-operative University

38 Tanzanian Training Centre for International Health

39 Archbishop Mihayo University College of Tabora

40 St Francis University College of Health and Allied Sciences

41 Jordan University College

42 Stella Maris Mtwara University College

43 Sumait University

44 Ruaha Catholic University

45 Tumaini University Dar es Salaam College

46 Tumaini University Institute of Agriculture

47 Josiah Kibira University College

48 United African University of Tanzania

49 Mwenge Catholic University

50 Tanzania International University

SOURCE
World | Ranking Web of Universities
Sub-Saharan Africa | Ranking Web of Universities

Best Universities in Tanzania 2015 - Latest Rankings
Jamani nauliza hivi dsm kuna chuo kikuu chochote ukiacha udsm kinachotoa degree kwa masomo ya jioni?
 
Kwani mimi nimesema hiyo ni ranking ya nini? Dogo, mimi hayo mambo ya rankings nayaelewa kuliko unavyowaza, nina kiburi juu yake kiasi kwamba siwezi kusoma chuo ambacho academic ranking yake worldwide ni above100 na nimefanikiwa ndoto zangu.
OK, ongera Sana.
 
Mbona institute of adult Education na institute of social work sikioni huo utafiti feki.
 
Unaweza kuwa sawa kama utataja vigezo ulivyo tumia kupanga hivyo vyuo......mfano Muhimbili unafananisha na mzumbe au UDSM?.naona ni sawa kufananisha HKL NA PCB nani ana mwandiko wa kulemba au nani anaweza kuandika Insha mzuri......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom