Best Universities in Tanzania (2016)

Best Universities in Tanzania (2016)

Hata wazazi best wamezaa vilaza. Swali ni kwako wewe je ni best?
 
Hayo ni ya kweli, OUT kwa Tanzania Iko mbali Unless hiyo ranking itoe mchanganuo wa vigezo. na hasa kikubwa ni ELIMU itolewa inayomsaidia mwanafunzi kumudu maisha. OPEN usipime. Na usiombe kukutana intervuew na mtu kasoma opnen!! They are Good. nADHANI COULD HAVE BEEN 1 OR 2
Ni kweli kabisa sababu kubwa ni ile undergraduate kujisomea mwenyewe unajenga uwezo mkubwa sana wa kujitegemea sasa huku juu baada ya degree ya kwanza ukifanikiwa kusoma utaratibu wa chuo walimu, vitabu kufundishwa unawakimbiza mpaka unawaonea huruma waliotoka vyuo vya kufundishwa ushahidi niao siwezi kuuweka hapa lakini najivunia kusoma OUT kwenye Interview huwa wanashangaa kama kweli nimesoma OUT.
 
sina uhakika na KIU , OPEN UNIVERSITY kuwa no 6 interesting
 
eh! hii hatari,SEBASTIAN KOLOWA MEMORIAL UNIVERSITY ya 31?nakataa.
 
hii ni orodha tu, hakuna chuo chochote cha kusinda any public university, au hivi vyuo vya private hamjui kama Mara nyingi vinapokea rejects,angalau kozi za afya


ubora wa chuo haupimwi kwa wanafunzi wangapi wanalipata div one kuingia pale..hicho kigezo hutumika kwa asilimia ndoho sana..

ubora wa chuo hupimwa kwa haya
1. Management ya chuo ikoje, yaani ina ubora gani
2. kuna prof walimu wangapi chuoni
3. kuna madactari walimu wangapi
4.TA na AL wangapi
5. Miundo mbinu ya chuo ikoje kwa maana ya facilities za kufundishia zikoje.

5.carriculum ya chuo ikoje.
6. Ubora wa elimu na mitihani inayotungwa ikoje! ni standard nk

so acha ujinga
 
BEST TANZANIAN UNIVERSITIES: Latest Rankings 2016.

1 University of Dar Es Salaam

2 Sokoine University of Agriculture

3 Muhimbili University of Health and Allied Sciences

4 Mzumbe University

5 Mkwawa University College of Education

6 Open University of Tanzania

7 Hubert Kairuki Memorial University

8 Saint Augustine University of Tanzania

9 University of Dodoma

10 DAR University Kampala International University of Uganda Dar es Salaam

11 Ardhi University

12 State University of Zanzibar

13 Nelson Mandela African Institute of Science & Technology

14 Weill Bugando University College of Health Sciences

15 Tumaini University Makumira University College

16 Institute of Finance Management

17 Dar Es Salaam Institute of Technology

18 University of Iringa

19 Saint John's University of Tanzania

20 College of Business Education

21 Institute of Accountancy Arusha

22 Mount Meru University

23 Kilimanjaro Christian Medical University College

24 International Medical & Technological University

25 Teofilo Kisanji University

26 Zanzibar University

27 Mbeya University of Science & Technology

28 Mwalimu Nyerere Memorial Academy

29 Arusha Technical College

30 University of Bagamoyo UoB Dar es Salaam

31 Sebastian Kolowa Memorial University

32 Muslim University of Morogoro

33 University of Arusha

34 Dar es Salaam University College of Education

35 St Joseph University in Tanzania

36 Tumaini University Stefano Moshi Memorial University College

37 Moshi Co-operative University

38 Tanzanian Training Centre for International Health

39 Archbishop Mihayo University College of Tabora

40 St Francis University College of Health and Allied Sciences

41 Jordan University College

42 Stella Maris Mtwara University College

43 Sumait University

44 Ruaha Catholic University

45 Tumaini University Dar es Salaam College

46 Tumaini University Institute of Agriculture

47 Josiah Kibira University College

48 United African University of Tanzania

49 Mwenge Catholic University

50 Tanzania International University

SOURCE
World | Ranking Web of Universities
Sub-Saharan Africa | Ranking Web of Universities

Best Universities in Tanzania 2015 - Latest Rankings
 
watu wa education na sociology hamna vitu vya kufanya et, chuo bado hakijachanganya ndio maana wakati mwinge huwa naona bora serikali isiwape tu mikopo kama watu wenyw ni wendawazimu kama mtoa mada ya nini kupoteza pato la taifa
 
Na wataendelea kukushangaa sana..! Unajisifia kufanya interview zaidi ya moja..! Kweli OUT ni noma. Hivi ni interview ngapi hadi sasa..!?
Unafikiri wote wanafanya kazi moja kama wewe? Maslahi yanapokuwa mazuri na vyeti vizuri una uwezo wa kubadili kazi.Pole
 
....umewahi kusoma OUT?!, au unakurupuka tu ku-judge kitabu kwa kuangalia cover!
Mimi nimesoma DIT then OUT, aisee OUT ni hatari, mm naona kama inatakiwa iwe namba 1
 
Hii ranking ni sawa na kushindanisha "wagonjwa", nani mgonjwa zaidi? Weka ranking ya Africa nzima ili tujue tuko wapi badala za shindanisha "wagonjwa".
Hili nilishawahi kulisema ,ninalisema na nitaendelea kulisema .kuna watu mnajaribu kuvibeza vyuo vya private tu katika mapungufu lakini hamviangalii vyuo vya serikali pia ambavyo vimejaa uozo uliopitiliza . Trust me kuna vyuo vyuo vya private vinatoa quality education kwamfano KCMC pale kitabu kinapigwa si mchezo na sikatai kuwa kuna vyuo vya vya private vimejaa uozo lakini ukifanya utafiti utagundua elimu yetu imeshuka tu kiujumla ndo maana leo unaweza kuwachukua vijana 10 kutoka vyuo mbalimbali vya bongo na ukawafanyia interviews utagundua ninachokisema utakutana na vituko vya kuvunja mbavu no matter in what university hao vijana wanatoka na kwanini huwa hata hamjiulizi kwa nini wa Kenya na waganda majirani zetu huwa wanatubuluza sana likija suala la usahili katika kazi wakati tuna level sawa ya elimu ya chuo kikuu .kaa chini na tafakari acheni upambe wa kushabikia wagonjwa wanaoumwa ugonjwa unaofanana mimi kwangu hii ranking list ni upuuzi mtupu na usio na tija kwa taifa letu na maendeleo ya sekta ya elimu . Solution tuwe na elimu inayomwezesha mtu kujitambua na kupambana na kutatua changamoto zake na za jamii inayomzunguka ikiwemo uwezo wa kijiajiri amalizapo masomo pamoja na ubunifu katika carrier yake ili kuleta tija kwa taifa lake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom