Best paying company in tanzania

mtaje na mishahara yao kwa waanzao kazi sasa tujue ubest wao upo wapi,majina tu hayatusaidiiii
 
je mnaweza kuamini kuna mtanzania hapa dar anafanyakazi kampuni moja ya simu ya hapahapa tz,analipwa tsh.6omillion???!!! Nina ushahidi wa kutosha coz nimeona saraly sleep yake,na nikaipiga picha ktk cm yangu. Ila nahofia maisha yangu,kwani ana bastola zaidi ya mbili, na ni halali,moja kati ya hizo nimeshawahi kuitumia tulipoenda kuwinda.the guy is friend of me! Ya pili ni ya kirusi ina magazines mbili kwenye kitako,na ya tatu ni ya ki jermany hii ni kiwambo cha sauti.cha ajabu huyu jamaa hajawahi kugombana na hana hasira,na mwisho ni ana mchezo wa kishenzi!pamoja na kuwa ana mke mzuri sana, na mkewe saivi anaendesha nissan murani xx5 na kabla ya hapo alikuwa na audi sport. Yy mwenyewe ana2mia prado new model ya compununi
 
je mnaweza kuamini kuna mtanzania hapa dar anafanyakazi kampuni moja ya simu ya hapahapa tz,analipwa tsh.6omillion???!!! Nina ushahidi wa kutosha coz nimeona saraly sleep yake,na nikaipiga picha ktk cm yangu. Ila nahofia maisha yangu,kwani ana bastola zaidi ya mbili, na ni halali,moja kati ya hizo nimeshawahi kuitumia tulipoenda kuwinda.the guy is friend of me! Ya pili ni ya kirusi ina magazines mbili kwenye kitako,na ya tatu ni ya ki jermany hii ni kiwambo cha sauti.cha ajabu huyu jamaa hajawahi kugombana na hana hasira,na mwisho ni ana mchezo wa kishenzi!
 
mkuu wewe ni mwalimu? nikweli wanalipa hivyo, ninyi si mmeridhika na malipo duni
kaka mimi ni mwalimu pia, kiukweli haturidhishwi na maslahi tunayopata kwenye hii kazi yetu, lakini sasa ndugu yangu unataka twende wapi?
mimi kwa mfano, nimehitimu Higher Diploma ya IT tangu mwaka jana, kazi za ICT hazionekani, so, napigwa dolo tu hapa kwenye chaki. umenihuzunisha sana kaka, kwa maneno yako makali, bora tu umekula ban, upumzike kwa amani
 
serikali kwasasa nikama imepumzika kuajiri mkuu, hasa hii sekta ya ICT

kamanda

tuna tatizo kubwa sana kwenye ajira, na expectations za graduate

vijana graduates wanategemea kuanza kazi kama mabosi, kwasababu ni graduates, na ajira hakuna... ushauri wangu, many private employers need qualified staffs, ila waoga kuajiri mojakwamoja kutokana na tabia za new graduates kwahiyo wanaajiri za wa certificates na diploma kwani wao huwa kweli wanataka sana kazi kuliko chochote

pambana hata kama ni kwa kuanzia chini
 
kamanda

tuna tatizo kubwa sana kwenye ajira, na expectations za graduate

vijana graduates wanategemea kuanza kazi kama mabosi, kwasababu ni graduates, na ajira hakuna... ushauri wangu, many private employers need qualified staffs, ila waoga kuajiri mojakwamoja kutokana na tabia za new graduates kwahiyo wanaajiri za wa certificates na diploma kwani wao huwa kweli wanataka sana kazi kuliko chochote

pambana hata kama ni kwa kuanzia chini
shukrani kwa ushauri mzuri mkuu, acha niendelee kuchanga karata
 
Majibu uliyoyatoa umeyafanyia analysis ya kutosha kama GT au umekurupuka? Kwa uelewa wangu kuhusu hayo makampuni uloyataja yanaweza kuwa katika level ya kati ya makampuni yanayolipa zaidi. usiangalie mishahara ya mtu mmojammoja kwa kuangalia majukumu na nafasi yake, usiangalie mambo wanayofanya wanapokuwa likizo, kuna mambo mengi yamefichika nyuma usoyajua!! Na hiyo likizo ya 3 kwa 2 sijui umeitoa wapi!! Jumuiya ya ma Human Resource wa tanzania wana majibu mazuri kuhusu mishahara
unajua tz tunasumbuliwa sana na watu mambumbumbu kama wewe, yaani wa aina yako na wengine waliochallenge hii kitu. cha ajabu ni kwamba, mimi naongea kitu halisi, nimekuwepo tulawaka, Bulyanhulu na Buzwagi kwa muda mrefu. siongei kitu nilichokisikia kwenye magazeti au kwa wanasiasa. hatuhitaji kubishana hapa, ongea kuhusu uzoefu wako usiongee kutoamini ambacho wengine wamesema wakati wewe huna data halisi au utafiti au hujafanya kazo huko kabisa. watz wengi wa aina yako hata shule huwa wanakuwa wameenda kutomea kubishana, hata kitu cha kweli atabishana, hata kitu asichokijua atabishana matokeo yake atajikuta hajui kitu kwasababu haamini kila kitu. pole samaki pole!
 
ungenambia, mmbongo akilipwa milioni mbili au tatu, mzungu mwenye elimu na uzoefu uleule analipwa milioni kumi, kumi na tano na kuendelea. kule Tulawaka na migodi meingine ya kahama, wazungu wengine ni walinzi tu wa kawaida, kazi wanazofanya ni za ulinzi tu kama ule wanaofanya wabongo, wengine ni wafilipino na wa nepal wamekuja kufanya kazi ya ulinzi...lakini mishahara yao ni mikubwa sana, kuanzia ten mill. kuhusu chakula, zamani mfano tulawaka walikuwa wametenganishwa, mess za wazungu na zile za wabongo, bar za wazungu na zile za wabongo, sasaivi wabongo waliandamana hivyo wazungu wote na wabongo,...kuanzia hata GM(general manager wa mgodi) wanakula pamoja na chakula cha standard sawa. kuna makampuni ya catering toka ufaransa mengine yanalisha mle ndani, chakula chao ni cha hali ya juuu....ukiingia mle siku moja utashangaa
 
Barrick Gold Tanzania, na Geita (migodini). kule ukienda, Human recource anaweza kuwa analipwa hata milioni tatu hadi tano kwa mwezi. mlinzi wa mgodini wanalipwa laki tisa hadi milioni moja na nusu. mwanasheria wa kampuni analipwa kuanzia milioni tano kwenda juu kwa mwezi. mfano Tulawaka, hiyo ni net, halafu chakula bure mnapikiwa cha first class (western) unakula tani yako, hivyo huo mshahara hautanunua chakula etc. ndio maana wanamalizia kwenye uzinzi tu wakienda likizo. unafanya kazi wiki tatu, wiki mbili likizo. hao ndo wazungu bwana. pamoja na kwamba wanatuibia sana, lakini watz wenzetu wanaofanya kazi huko ndo wanalipwa hivyo.

Umemdanganya, unao ushahidi, maana sio kusema, mie kuna mtu ninamfahamu alikuwa Barrick alikuwa analipwa si zaidi ya 2.5 take home, na kwamba wanafanya kazi wiki 6 wanapumzika wiki 3, endelea kumsaidia, hujamsaidia bado
 
Umemdanganya, unao ushahidi, maana sio kusema, mie kuna mtu ninamfahamu alikuwa Barrick alikuwa analipwa si zaidi ya 2.5 take home, na kwamba wanafanya kazi wiki 6 wanapumzika wiki 3, endelea kumsaidia, hujamsaidia bado
Na hapo hyo jamaa alikuwa anaitwa Human Resources Superintendent, kwa hyo alikuwa sio mtu mdogo.
 
inawezekana mimi sijaelewa, asante kwa kunielewesha, lakini naomba niambie, kwa kichwa cha habari cha mtoa mada, ukisikia mtu anasema '" BEST PAYING COMPANY" utaelewa kama amesema mashirika ya umma? mimi sikusoma alichoandika chini, hapa nina kazi zangu nyingi hivyo nilisoma tu kichwa cha habari. best paying company which includes private and public companies au government corporations. nafikiri wewe uelewa wako ndio kidogo unazingua. hebu jamani nisaidieni alichosahihisha huyu jamaa anayejiita mwenye akili.

kuhusu mishahara yao hao jamaa, actually yawezekana yapo makampuni yanayolipa zaidi ya hao, lakini kwa figure hiyo niliyoweka ni sahihi, nina uhakika nayo na hata hivi sana niko huko huko. asanteni.

ndiyko

ukimnyooshea mtu kidole kimoja normally vidole vinne hukunyooshea ww mwenyewe.
 
My Question is so why Do barrick wanatangaza nafasi za kazi kila kukicha?
Au ndio maisha ya camp boring kwa stuff?
Being far from family and friends?
Huwa sielewagi why maana people left sana pale...
Labda hapa ntapata majibu. (Any help)?

Kawaida migodini kama uko siriasi na kutafuta hela ni kufanyakazi miaka miwili then unaacha,ni mahala hatari zaidi kimaisha kuanzia kazini mpaka kijijini wanapoishi wafanyakazi.
 
Through my experience in auditing firms assigments in different companies kwenye mashirika ya uma tanapa, tanesco, has good rate in terms of salary but they pay through experience not education nilishangaa sana kukuta kuna watu wana certificates but wanafika hadi 3 m,

Tukitoa mashirika ya uma yaani overall paying companies zinazoongoza ni za oil and gas explorations na zinazifata ni za madini in terms of salaries, watu waliopo kwenye oil and gas industry ni balaa hadi auditors mnajiuliza mishahara yote ya kazi gani hii,


Are yo real auditor you dont adhere to the code of conduct to the confidetiality
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom