Dingswayo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 4,019
- 2,923
Natarajia kutumia laptop yangu kwa Internet huko Tanzania hivi karibuni. Kutokana na kuwepo kwa fibre optic cable, ni ISP yupi ambaye amejitokeza kutoa huduma nzuri kipesa na kihuduma? Naomba kupatiwa vilevile specs za usb dongles ambazo naweza kutumia huko Tanzania. Natanguliza shukrani.