Best internet provider baada ya fiber optic cable

Dingswayo

JF-Expert Member
May 26, 2009
4,019
2,923
Natarajia kutumia laptop yangu kwa Internet huko Tanzania hivi karibuni. Kutokana na kuwepo kwa fibre optic cable, ni ISP yupi ambaye amejitokeza kutoa huduma nzuri kipesa na kihuduma? Naomba kupatiwa vilevile specs za usb dongles ambazo naweza kutumia huko Tanzania. Natanguliza shukrani.
 
TTCL Broadband (kwa nyumbani maana nahitaji uwe na line ya simu(ADSL))
 
Natarajia kutumia laptop yangu kwa Internet huko Tanzania hivi karibuni. Kutokana na kuwepo kwa fibre optic cable, ni ISP yupi ambaye amejitokeza kutoa huduma nzuri kipesa na kihuduma? Naomba kupatiwa vilevile specs za usb dongles ambazo naweza kutumia huko Tanzania. Natanguliza shukrani.

Nilikuwa naulizia internet provider wa mobile internet kutumia laptop.
 
Natarajia kutumia laptop yangu kwa Internet huko Tanzania hivi karibuni. Kutokana na kuwepo kwa fibre optic cable, ni ISP yupi ambaye amejitokeza kutoa huduma nzuri kipesa na kihuduma? Naomba kupatiwa vilevile specs za usb dongles ambazo naweza kutumia huko Tanzania. Natanguliza shukrani.

MOBILE BROADBAND PACKAGE
MONTHLY SUBSCRIPTION TSH
MONTHLY SUBSCRIPTION INCLUDING MODEM TSH
DATA ABOVE THE BUNDLE TSH/MB​
hakuna mobile ISP ambaye ni rilayabo hapa bongo mzee. speed haziaminiki, na wakati mwingine haupo hewani kabisa, kifupi mm sijaona mabadiliko yoyote yaliyoletwa na fiber optic. ila usikate tamaa mzee nyumbani ni nyumbani, kilichopo ndy tunakula. jaribu zantel, bei zao ziko cheap sana ukilinganisha na wengine, ila kama una mpango wa kwenda bariadi au namtumbo usishangae kukosa service! teh teh. usb moderm wanazo wenyewe kwa bei rahisi tu.

1.4 GB
40,000
55,000
28
2.5 GB
70,000
85,000
27.5
4.4 GB
120,000
135,000
27
10GB
270,000
285,000​
 
MOBILE BROADBAND PACKAGE

MONTHLY SUBSCRIPTION TSH
MONTHLY SUBSCRIPTION INCLUDING MODEM TSH
DATA ABOVE THE BUNDLE TSH/MB​
hakuna mobile ISP ambaye ni rilayabo hapa bongo mzee. speed haziaminiki, na wakati mwingine haupo hewani kabisa, kifupi mm sijaona mabadiliko yoyote yaliyoletwa na fiber optic. ila usikate tamaa mzee nyumbani ni nyumbani, kilichopo ndy tunakula. jaribu zantel, bei zao ziko cheap sana ukilinganisha na wengine, ila kama una mpango wa kwenda bariadi au namtumbo usishangae kukosa service! teh teh. usb moderm wanazo wenyewe kwa bei rahisi tu.

1.4 GB
40,000
55,000
28
2.5 GB
70,000
85,000
27.5
4.4 GB
120,000
135,000
27
10GB
270,000

285,000​
Asante sana mkuu.
 
Back
Top Bottom